Taratibu za kuhamisha hati miliki za viwanja ni ndefu, ngumu na ghali mno, inaleta mianya ya rushwa manispaa, TRA na Ardhi

Taratibu za kuhamisha hati miliki za viwanja ni ndefu, ngumu na ghali mno, inaleta mianya ya rushwa manispaa, TRA na Ardhi

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nimegundua sasa ni kwanini watu wananunua viwanja kisha wanaendelea kutumia hati zenye majina ya watu wengine bila kubadilisha majina.

1.) Hivi inakuwaje mtu anunue kiwanja milioni 50 kisha report ya valuation iseme kwamba kina thamani ya 200mil.?! Kama kweli kinathamani hiyo kwanini mtu auze mulioni 50? Hatukatai wapo watu wanadanganya bei kwenye mikataba, lakini bei za valuation hata ukisema utafute madalali wahangaike na hicho kiwanja mwaka mzima huwezi pata mnunuzi, maana bei ya valuation lazima iangalie na hali halisi ya soko kwa wakati husika, jitu linakaa tu ofisini linaanza kupiga hesabu za kufikirika eti hapa ni laki 2 kwa square meter, hapa lazima kifanyike kitu, huu ni mkanganyiko unaoshawishi sana watu kutoa rushwa na kuwaneemesha valuers.

2.) Manispaa napo wanataka 3% huko sijui, huko utapeleka document kiroba kizima, na hapo utalipa mwanasheria pesa kwa % vile vile, cha kushangaza huko manispaa unaweza ukapeleka vikorokoro vyote na ukasubiri hadi ukasahau, uchekeweshwaji ni mkubwa, ila ukitoa grease tu, unashangaa zoezi la miezi linachkua dakika 10 tu umeshapewa control number, na ukilipa tu kibali unapewa hapo hapo, kwanini pasiwe na kanuni, kwamba mtu akileta application isizidi masaa 24 apewe control number alipie na apate kibali, pawe na kanuni, isiwe utashi wa watumishi, inachochea watu kutoa rushwa!

3.) Ukitoka hapo jiandae na TRA, kama mkataba ni wa 2022 kurudi nyuma, basi kama valuer alisema kiwanja ni milioni 200, hata kama ulinunua milioni 30, hapo ujue 10% inakuhusu, yaani ulipe 20 milion! Kwa style hii mnatoa mshawasha wa watu kutoa grease na kuneemesha watumishi, na hata ukilipa kama hutoi grease, hiyo Tax clearance utaisikia kwenye ndoto tu.., ni too much..,

3.) Ardhi ndio sina hata hamu ya kuwazungumzia, nawaacha tu.., mwisho wa siku ni bora hata ulipe mtu milioni 5 afanye ike kazi ya nenda rudi kila siku hapo Ardhi, ili angalau wewe uendelee na shughuli zako za kukuinguzia kipato.

Soma Pia: Umuhimu wa Kumuunganisha Msajili wa Hati Miliki (Registrar of Titles) Kwenye Kesi ya Ardhi Ambayo Kiwanja Kimesajiliwa na Kina Hati

Mimi nashauri hizi taasisi zote za kuhamisha hati miliki ziwekwe chini ya ofisi moja maalum yenye maafisa toka taasisi zote hizo, mtu ukiingia isizidi wiki uwe na hati yako, tunatesana mno.
 
Nimegundua sasa ni kwanini watu wananunua viwanja kisha wanaendelea kutumia hati zenye majina ya watu wengine bila kubadilisha majina.

1.) Hivi inakuwaje mtu anunue kiwanja milioni 50 kisha report ya valuation iseme kwamba kina thamani ya 200mil.?! Kama kweli kinathamani hiyo kwanini mtu auze mulioni 50? Hatukatai wapo watu wanadanganya bei kwenye mikataba, lakini bei za valuation hata ukisema utafute madalali wahangaike na hicho kiwanja mwaka mzima huwezi pata mnunuzi, maana bei ya valuation lazima iangalie na hali halisi ya soko kwa wakati husika, jitu linakaa tu ofisini linaanza kupiga hesabu za kufikirika eti hapa ni laki 2 kwa square meter, hapa lazima kifanyike kitu, huu ni mkanganyiko unaoshawishi sana watu kutoa rushwa na kuwaneemesha valuers.

2.) Manispaa napo wanataka 3% huko sijui, huko utapeleka document kiroba kizima, na hapo utalipa mwanasheria pesa kwa % vile vile, cha kushangaza huko manispaa unaweza ukapeleka vikorokoro vyote na ukasubiri hadi ukasahau, uchekeweshwaji ni mkubwa, ila ukitoa grease tu, unashangaa zoezi la miezi linachkua dakika 10 tu umeshapewa control number, na ukilipa tu kibali unapewa hapo hapo, kwanini pasiwe na kanuni, kwamba mtu akileta application isizidi masaa 24 apewe control number alipie na apate kibali, pawe na kanuni, isiwe utashi wa watumishi, inachochea watu kutoa rushwa!

3.) Ukitoka hapo jiandae na TRA, kama mkataba ni wa 2022 kurudi nyuma, basi kama valuer alisema kiwanja ni milioni 200, hata kama ulinunua milioni 30, hapo ujue 10% inakuhusu, yaani ulipe 20 milion! Kwa style hii mnatoa mshawasha wa watu kutoa grease na kuneemesha watumishi, na hata ukilipa kama hutoi grease, hiyo Tax clearance utaisikia kwenye ndoto tu.., ni too much..,

3.) Ardhi ndio sina hata hamu ya kuwazungumzia, nawaacha tu.., mwisho wa siku ni bora hata ulipe mtu milioni 5 afanye ike kazi ya nenda rudi kila siku hapo Ardhi, ili angalau wewe uendelee na shughuli zako za kukuinguzia kipato.

Soma Pia: Umuhimu wa Kumuunganisha Msajili wa Hati Miliki (Registrar of Titles) Kwenye Kesi ya Ardhi Ambayo Kiwanja Kimesajiliwa na Kina Hati

Mimi nashauri hizi taasisi zote za kuhamisha hati miliki ziwekwe chini ya ofisi moja maalum yenye maafisa toka taasisi zote hizo, mtu ukiingia isizidi wiki uwe na hati yako, tunatesana mno.

Waweke tu ofisi moja ambapo mtu anaweza kulipa na kukamilisha kila kitu hapo hapo kuliko mizunguko ya kwenda TRA, sijui ardhi, manispaa, nk. Mnunuaji apewe jumla ya gharama zote za kodi alipe halafu wenyewe wagawanye hiyo hela kulingana na mgawanyo wao (TRA, manispaa, ardhi).
 
Ndiyo maana wawekezaji wanaenda Somalia kwenye vita kuwekeza kuliko Tanzania yenye aman, sababu ya upuuzi kama huu
Hapa ni pazuri sana kuwekeza, tupunguze tu milolongo isiyo na sababu, maana inaleta mianya ya watu kuombwa na kutoa rushwa..
 
Hapa kwetu jiji la.Dodoma.ndiyo maana waziri fulani alipopepewa uwaziri wa ardhi alikuta madudu mpaka ofisi zikafungwa ila ameondolewa.ni balaa
 
Nimegundua sasa ni kwanini watu wananunua viwanja kisha wanaendelea kutumia hati zenye majina ya watu wengine bila kubadilisha majina.

1.) Hivi inakuwaje mtu anunue kiwanja milioni 50 kisha report ya valuation iseme kwamba kina thamani ya 200mil.?! Kama kweli kinathamani hiyo kwanini mtu auze mulioni 50? Hatukatai wapo watu wanadanganya bei kwenye mikataba, lakini bei za valuation hata ukisema utafute madalali wahangaike na hicho kiwanja mwaka mzima huwezi pata mnunuzi, maana bei ya valuation lazima iangalie na hali halisi ya soko kwa wakati husika, jitu linakaa tu ofisini linaanza kupiga hesabu za kufikirika eti hapa ni laki 2 kwa square meter, hapa lazima kifanyike kitu, huu ni mkanganyiko unaoshawishi sana watu kutoa rushwa na kuwaneemesha valuers.

2.) Manispaa napo wanataka 3% huko sijui, huko utapeleka document kiroba kizima, na hapo utalipa mwanasheria pesa kwa % vile vile, cha kushangaza huko manispaa unaweza ukapeleka vikorokoro vyote na ukasubiri hadi ukasahau, uchekeweshwaji ni mkubwa, ila ukitoa grease tu, unashangaa zoezi la miezi linachkua dakika 10 tu umeshapewa control number, na ukilipa tu kibali unapewa hapo hapo, kwanini pasiwe na kanuni, kwamba mtu akileta application isizidi masaa 24 apewe control number alipie na apate kibali, pawe na kanuni, isiwe utashi wa watumishi, inachochea watu kutoa rushwa!

3.) Ukitoka hapo jiandae na TRA, kama mkataba ni wa 2022 kurudi nyuma, basi kama valuer alisema kiwanja ni milioni 200, hata kama ulinunua milioni 30, hapo ujue 10% inakuhusu, yaani ulipe 20 milion! Kwa style hii mnatoa mshawasha wa watu kutoa grease na kuneemesha watumishi, na hata ukilipa kama hutoi grease, hiyo Tax clearance utaisikia kwenye ndoto tu.., ni too much..,

3.) Ardhi ndio sina hata hamu ya kuwazungumzia, nawaacha tu.., mwisho wa siku ni bora hata ulipe mtu milioni 5 afanye ike kazi ya nenda rudi kila siku hapo Ardhi, ili angalau wewe uendelee na shughuli zako za kukuinguzia kipato.

Soma Pia: Umuhimu wa Kumuunganisha Msajili wa Hati Miliki (Registrar of Titles) Kwenye Kesi ya Ardhi Ambayo Kiwanja Kimesajiliwa na Kina Hati

Mimi nashauri hizi taasisi zote za kuhamisha hati miliki ziwekwe chini ya ofisi moja maalum yenye maafisa toka taasisi zote hizo, mtu ukiingia isizidi wiki uwe na hati yako, tunatesana mno.
Kwa kweli hapo tra ndio wapigani wapo kinoma na ata ukiwapa supporting documents wanaleta ubabe.
 
Back
Top Bottom