Nataka kishoka anisaidie nipate pass kabisa kwa mda mfupi (atleast 4 days). Ninayo pass ya zamani ambayo inahitaji kubadilishwaKuna ile pass ndogo ambayo kama una 50 elfu ya chapchap kishoka anakuletea hadi Nyumbani.
Mambo yamezidi kurahisishwa na Serikali yetu sikivu ya Bi Samia.
Bora umeleta huu uzi mana nataka kuhamia huko
Bongo nyoso!!
Uko Dar au Mikoani?Nataka kishoka anisaidie nipate pass kabisa kwa mda mfupi (atleast 4 days). Ninayo pass ya zamani ambayo inahitaji kubadilishwa
Njoo pmD
DsM
Yani nmecheka mno ππView attachment 2387055
Kwisha habari yangu
πππjini kama jiniYani nmecheka mno ππ