Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka kishoka anisaidie nipate pass kabisa kwa mda mfupi (atleast 4 days). Ninayo pass ya zamani ambayo inahitaji kubadilishwaKuna ile pass ndogo ambayo kama una 50 elfu ya chapchap kishoka anakuletea hadi Nyumbani.
Mambo yamezidi kurahisishwa na Serikali yetu sikivu ya Bi Samia.
Bora umeleta huu uzi mana nataka kuhamia huko
Bongo nyoso!!
Uko Dar au Mikoani?Nataka kishoka anisaidie nipate pass kabisa kwa mda mfupi (atleast 4 days). Ninayo pass ya zamani ambayo inahitaji kubadilishwa
Njoo pmD
DsM
Yani nmecheka mno 😂😂View attachment 2387055
Kwisha habari yangu
😁😁😁jini kama jiniYani nmecheka mno 😂😂