Taratibu za kuingia Zambia

Taratibu za kuingia Zambia

Kuna ile pass ndogo ambayo kama una 50 elfu ya chapchap kishoka anakuletea hadi Nyumbani.

Mambo yamezidi kurahisishwa na Serikali yetu sikivu ya Bi Samia.
Nataka kishoka anisaidie nipate pass kabisa kwa mda mfupi (atleast 4 days). Ninayo pass ya zamani ambayo inahitaji kubadilishwa
 
Bora umeleta huu uzi mana nataka kuhamia huko
Bongo nyoso!!

IMG_8012.jpg

Kwisha habari yangu
 
Vijana wa sahv mkitaka kusafiri
Mnauliza maswali mengi,mmeja uwoga mbona ......

Ova
 
Back
Top Bottom