Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
ushuari wangu bei sijui ila nenda wizarani pale ongea na mshkaji unayemfahamu kwani process inaweza kukugharimu ama isikugharimu lkn taratibu za awali ni hizi hapa
nenda serikali ya mtaa wakuandikie kitu inaitwa muhutasari wa kuomba kupimiwa eneo. hii huwaga wana chaji 10%ya bei ulonunulia eneo na wanakupa risiti but kwa uzoef wangu naona hata vitabu vyenyewe vya risiti havikaguliwi so ni kama za kwao tu. ukiongea nao vzr wanaweza kupunguza bei.
baada ya hapo kagua eneo lako kama kuna jirani ambaye amepima eneo lake so ana beacon kama yupo soma namba za jiwe zinaandikwaga juu kabisa mf ZN 49 etc.
kama hakuna basi hapo tafuta mtu wa jikon kabisa kule ardhi mweleze nia yako achukue GPS aje apime coordinates kwenye engo zote za eneo wao watakwenda kuingiza kwenye master pln waone kama lina mchoro kama halina jua unatakiwa kugharamia mchoro ila kama upo basi kazi kwako ni rahisi sana.
wakishajua kama halijapimwa ndipo watakapo kuambia nini cha kufanya so b4 kwenda savei kwanza eneo lako ama kuna beakon ili ujue itakugharim nini hasa.
usitishwe na bei bana kila ktiu kinazungumzka ila usiende ka hawa private consultants watakulima miele kibao nenda huko front usogope. pia kama eneo haliihitaj ramani basi muda ni mchache sana unakuwa umepata hati na mawe. manake watakupa ofa kisha ndipo kama baada ya miez 2 unapata title deed. ni vitu ambavyo vinafanyika bana ila wanaotaka kupitia kwa hawa wa private wanapigwa na unakuta hata baada ya miaka 2 bado title deed hajapata.
Dah,
Very productive.
Sasa kama master plan inasema ni Barabara, nawe ushanunua, kuna uwezekano mipango miji wakapindisha au ku-ammend??
Manake master plan wanazifungia watu wa Ardhi, huku mitaani watu wanathibitishiwa Na serikali ya kijiji ambao hawajui chochote!!