Taratibu za kupima kiwanja

Taratibu za kupima kiwanja

ushuari wangu bei sijui ila nenda wizarani pale ongea na mshkaji unayemfahamu kwani process inaweza kukugharimu ama isikugharimu lkn taratibu za awali ni hizi hapa

nenda serikali ya mtaa wakuandikie kitu inaitwa muhutasari wa kuomba kupimiwa eneo. hii huwaga wana chaji 10%ya bei ulonunulia eneo na wanakupa risiti but kwa uzoef wangu naona hata vitabu vyenyewe vya risiti havikaguliwi so ni kama za kwao tu. ukiongea nao vzr wanaweza kupunguza bei.

baada ya hapo kagua eneo lako kama kuna jirani ambaye amepima eneo lake so ana beacon kama yupo soma namba za jiwe zinaandikwaga juu kabisa mf ZN 49 etc.

kama hakuna basi hapo tafuta mtu wa jikon kabisa kule ardhi mweleze nia yako achukue GPS aje apime coordinates kwenye engo zote za eneo wao watakwenda kuingiza kwenye master pln waone kama lina mchoro kama halina jua unatakiwa kugharamia mchoro ila kama upo basi kazi kwako ni rahisi sana.

wakishajua kama halijapimwa ndipo watakapo kuambia nini cha kufanya so b4 kwenda savei kwanza eneo lako ama kuna beakon ili ujue itakugharim nini hasa.

usitishwe na bei bana kila ktiu kinazungumzka ila usiende ka hawa private consultants watakulima miele kibao nenda huko front usogope. pia kama eneo haliihitaj ramani basi muda ni mchache sana unakuwa umepata hati na mawe. manake watakupa ofa kisha ndipo kama baada ya miez 2 unapata title deed. ni vitu ambavyo vinafanyika bana ila wanaotaka kupitia kwa hawa wa private wanapigwa na unakuta hata baada ya miaka 2 bado title deed hajapata.

Dah,
Very productive.
Sasa kama master plan inasema ni Barabara, nawe ushanunua, kuna uwezekano mipango miji wakapindisha au ku-ammend??
Manake master plan wanazifungia watu wa Ardhi, huku mitaani watu wanathibitishiwa Na serikali ya kijiji ambao hawajui chochote!!
 
Dah,
Very productive.
Sasa kama master plan inasema ni Barabara, nawe ushanunua, kuna uwezekano mipango miji wakapindisha au ku-ammend??
Manake master plan wanazifungia watu wa Ardhi, huku mitaani watu wanathibitishiwa Na serikali ya kijiji ambao hawajui chochote!!
hapo sasa siju inakuwaje ila ujanja wa kitaa unafanya hivi wewe unapaendeleza kama kawa kisha unapapima kama kawa ili watakapokuja na madai yao ya barabara basi watakufidia. ila hii haiko kama eneo toka mwanzo linajulikana ni barabara ama mahali tengefu halafu wewe ukapigwa mzinga ukanunua tu utakuwa umetapeliwa.
 
Kupata TP haizidi 40,000/= na hii ina radius ya 2km kutoka kwako!! Kumtafuta mtu aje kupima angle na GPS haizidi 80,000/= pia kupimisha kiwanja hadi kupata title andaa 1.5m
 
ushuari wangu bei sijui ila nenda wizarani pale ongea na mshkaji unayemfahamu kwani process inaweza kukugharimu ama isikugharimu lkn taratibu za awali ni hizi hapa

nenda serikali ya mtaa wakuandikie kitu inaitwa muhutasari wa kuomba kupimiwa eneo. hii huwaga wana chaji 10%ya bei ulonunulia eneo na wanakupa risiti but kwa uzoef wangu naona hata vitabu vyenyewe vya risiti havikaguliwi so ni kama za kwao tu. ukiongea nao vzr wanaweza kupunguza bei.

baada ya hapo kagua eneo lako kama kuna jirani ambaye amepima eneo lake so ana beacon kama yupo soma namba za jiwe zinaandikwaga juu kabisa mf ZN 49 etc.

kama hakuna basi hapo tafuta mtu wa jikon kabisa kule ardhi mweleze nia yako achukue GPS aje apime coordinates kwenye engo zote za eneo wao watakwenda kuingiza kwenye master pln waone kama lina mchoro kama halina jua unatakiwa kugharamia mchoro ila kama upo basi kazi kwako ni rahisi sana.

wakishajua kama halijapimwa ndipo watakapo kuambia nini cha kufanya so b4 kwenda savei kwanza eneo lako ama kuna beakon ili ujue itakugharim nini hasa.

usitishwe na bei bana kila ktiu kinazungumzka ila usiende ka hawa private consultants watakulima miele kibao nenda huko front usogope. pia kama eneo haliihitaj ramani basi muda ni mchache sana unakuwa umepata hati na mawe. manake watakupa ofa kisha ndipo kama baada ya miez 2 unapata title deed. ni vitu ambavyo vinafanyika bana ila wanaotaka kupitia kwa hawa wa private wanapigwa na unakuta hata baada ya miaka 2 bado title deed hajapata.

Naomba nikufahamu unisaidie namna ya kufanya huu upimaji kama unaweza kuniunganisha. Ni PM if you do not mind anyway! Kuna mambo sitaki yawe humu. Asante.
 
Thread hii nzuri sana, waliochangia wote asanteni..
Naomba kuliza, Mleta mada ulifanikiwa? kili cost bei gani?
 
Kupata TP haizidi 40,000/= na hii ina radius ya 2km kutoka kwako!! Kumtafuta mtu aje kupima angle na GPS haizidi 80,000/= pia kupimisha kiwanja hadi kupata title andaa 1.5m
Cha ukubwa gani mkuu au ukubwa wowote????
 
kwa stlye hii kununua kiwanja ni shida yaani kila kitu ulipie kwann maeneo yote yasipimwe kabisa ili kabla ya kununua kiwanja uangalie ramani husika kama unastahili kujenga eneo husika
 
Ungeweka udaku hapa au habari zinazohusu kufunguana zipu, weeee, ungeona thread inajaa by the second.

JF ndivyo walivyo, angalia thread za ngono, zitachangiwa mpaka.........pages 40 and above. Weka thread ya sheria, afya, lo watu wawili/watatu, kama hii hakuna mtu. MMU utachoka utitili wa michango! The oldest trade made by human being was related to sex! ANYWAY KUPANGA NI KUCHAGUA
wanasheria wachache ndugu, masuala km haya ,yanahitaji wanasheria.
Jukwaa la mapenzi yoyote anaweza changiaa
 
Back
Top Bottom