Taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu mwalimu kufanya biashara darasani kwa wanafunzi anaowafundisha?

Muache mwalimu atumie fursa. Maana anayatumia madhaifu yako, kuwasaidia watoto wako kusoma bila njaa.

Kama hao watoto wako wangekuwa wanapata breakfast nzito asubuhi kabla ya kuondoka kwenda shule, nadhani wasingehangaika na hayo maandazi ya mwalimu.
 
Kila siku Serikali inapiga marufuku haya mambo lakini Walimu hawaelewi tuu zwakifukuzwa watasema wamwonewa.
 
Si rahisi kuukimbia Uzi , lengo lilikua ni kutakua kuelewa miongozo inasemaje lakini nilichogundua wote waliojibu hapo hawajui miongozo Bali wamejibu tu Kwa mihemko
Sasa kama hiyo miongozo na sheria ingefuatwa kama unavyotaka kwenye hii nchi, basi rushwa na ufisadi visingetamalaki.
 
Wapeleke wanao private schools.
Beer moja Ni sh 2000 unakunywa bia tano lkn unashindwa kumpa mwanao pocket money Mia tano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…