Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Muda ndio utaongea acha unga ufike kilo 5,OOONjaa itokee wapi Tanzania hii 😆😆😆😆
Kasoro serikali ya Tanzania.Sierra Leone protest: Wetin dey happen for Sierra Leone?
WIA DIS FOTO COME FROM,REUTERS
At least two police officers and one civilian don die after one day of anti-government protests for Sierra Leone's capital, Freetown, staff at the city's main mortuary tell Reuters on Wednesday.
Sierra Leone's goment don previously say pipo die, but dem no say how many, as protesters throw rocks and burn tyres for di streets out of frustration sake of worsening economic hardship and oda issues.
Long-standing frustration bin dey gingered by rising prices for basic goods for Sierra Leone, wia more dan half di population of around 8 million dey live below di poverty line, according to di World Bank.
Di goment on Wednesday impose nationwide curfew to prevent further breakdown of lawa and order
Watakapoanza kuwafanyia umafia wenye nacho ndio mtaelewa vyema. Wacha njaa iume vizuriHapa kwetu hata bei zipande vipi plus uwape na elf 10 KILA mtu Ili waandamane still awatoandamana
Nlitaka wakuimbe weweUlitaka wafanye vurugu au wakuimbe wewe?
Unga ukifika 10,000 ndio kuna njaa? 😆😆😆😆 Unaota..Muda ndio utaongea acha unga ufike kilo 5,OOO
Sasa unafikiri mkiandamana Ludewa ndio nchi itasimama? Mjini hapa kikinuka ndio lazma tukae kamati ya maridhiano.Unga ukifika 10,000 ndio kuna njaa? 😆😆😆😆 Unaota..
Mtakoma nyie wa huko Dar sisi mikoani ndio kwanza tunavuna,nikipata mda nitakupigia picha lundo la magunia uone..
Sio tuu mahindi hadi mchele,na Kwa taarifa yako mwaka huu licha ya mvua kusuasua ziada imepatikana kama Kawa..
Kenya tuu hapo wamefuta ruzuku na Sababu tayari mavuno kwenye baadhi ya maeneo ya Nchi yao yameanza hivyo Bei zimeshuka..
Endelea kuota.
Yaani mm nilime na kutoa jasho harafu niandamane kwa ajili ya majitu yamekimbia shamba kwenda mjini kuuza maji na utumbo,kuwa serious Mzee sifanyi huo ujinga..Sasa unafikiri mkiandamana Ludewa ndio nchi itasimama? Mjini hapa kikinuka ndio lazma tukae kamati ya maridhiano.
Sisi wengine tunawaangalia tu wanavyoimba kikasuku eti "Mama anaupiga mwingi"Kweli hali ni mbaya sana kote kote duniani ila watanzania ni shida sana wao bado wanashindana kumsifia yule wanayemuita mama tena ni mama wa ajabu aliyezaa watoto zaidi ya milioni 60. 😛 😛 😛😛
Kwani haupigi? 👇Sisi wengine tunawaangalia tu wanavyoimba kikasuku eti "Mama anaupiga mwingi"
Kuna ajuza hapa Tanzania anawaambia watu eti " Bei ya mafuta hapa Tz iko chiniYaani mtu kama m7 atolewe madarakani na mfumuko wa bei tu. Yaani kagame na samia watoke madarakani kisa mkate unauzwa tsh 7500 kweli?!!
Fanya kilimo ndio ulete hizo ngonjera za ruzuku kwenye mbolea. Ruzuku ya kwenye mafuta ndio hii inayopandishs bei ya mafuta Tz wakati nchi nyingine yakiendelea kushuka Bei!?Huyo huyo unaaemuita wa ajabu,yeye angalau anaweka Ruzuku kwenye mafuta, kwenye mbolea nk kupunguza hayo makali ila huko kwingine wanaacha mpambane na Hali yenu..
MakinikiA ... Mimi nimeiona hiyo Sierra Leonean Creole language aka Pidgin / KrioSierra Leone protest: Wetin dey happen for Sierra Leone?
Sierra Leone's goment don previously say pipo die, but dem no say how many, as protesters throw rocks and burn tyres for di streets out of frustration sake of worsening economic hardship and oda issues.
Porojo hii haina tofauti na ile waliyopigwa wale walioambiwa mishahara imepanda.Kwani haupigi? 👇
Kilimo.sijaanza leo wala Jana kufanaya na Mwaka huu ndio tutapata kamseleleko Kwa bei za mbolea za ruzuku..Kuna ajuza hapa Tanzania anawaambia watu eti " Bei ya mafuta hapa Tz iko chini
Fanya kilimo ndio ulete hizo ngonjera za ruzuku kwenye mbolea. Ruzuku ya kwenye mafuta ndio hii inayopandishs bei ya mafuta Tz wakati nchi nyingine yakiendelea kushuka Bei!?
Sawa acha iwe porojo kwako ila kwa sisi tulioko field na mtaani tunajua sio porojo.Porojo hii haina tofauti na ile waliyopigwa wale walioambiwa mishahara imepanda.
Hio ruzuku sikuona kama ilikuwa na msaada wowote, nilitegemea baada ya ruzuku mafuta yamgerudi kwenye litre 2600 kurudi chini lkn ilipungua tsh 100 tuu,hio ilikuwa na msaada ganHuyu anaendeleza zile zile sera za dikteta za Magufuli za kulisha watu uongo huku akidai asifiwe.
Ruzuku ya mafuta wanasema walitoa shilingi bilioni mia moja lakini hawataki kusema waliitoa kwa muda gani kama kweli waliitoa maanake kama waliitoa mara moja ni kazi bure tu kwa sababu tunaona bei ya mafuta inapanda tu nchini wakati kwenye soko la dunia inapungua.!