Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mkapa alikua kashastaafu, Magufuli alifariki akiwa madarakani.Magufuli acheni aoze, yaani jamaa alikuwa mwizi nwenye propaganda nyingi.
Na alikuwa na roho mbaya kama shetani.
Kwa nini mkapa hakumbukwi? Hawa Sukuma Gang wapuuzi tu
"Acheni mungu aitwe mungu," TANZANIA YETU LEO HII IMEKUWA KUWA SAFI KABISA, ALLAH AKUJALIE MAISHA MAREFU RAIS WETU SAMIAH SULUHU BINT HASSAN.
"Acheni mungu aitwe mungu," TANZANIA YETU LEO HII IMEKUWA SAFI KABISA, ALLAH AKUJALIE MAISHA MAREFU RAIS WETU SAMIAH SULUHU BINT HASSAN
Usikute mleta mada hata uhakika wa chai wala cha mchana hana, anafikiria kufanya sherehe machi 17😁Kama mlifukuzwa makazini kwa vyeti feki kaeni kwa utulivu.
Kama mlikuwa Majizi mkatumbuliwa kwa Wizi tulizeni akili.
Kama mlitumbuliwa kwa Uzembe jifunzeni kuchapa kazi.
Kama mlizoea kupiga madili na kuweka maslahi yenu mbele rudini mkaibe tena maaana shamba la bibi liko wazi sasa Tanesco Umeme mnaugawa kwa michongo, Treni ya Arusha hakuna kitu, SGR mmegoma kuipa kipaumbele, Bwawa la Nyerere ni danadana, mashuleni Michango imerudi, Mtaaani Uhalifu umerudi, Makazini Uzembe umejaaa maradufu, Mahospitalini Unakufa huku unajiona.
Inshort Mmepoteza dirra na Watanzania kuwaongoza kwa kucheka nao mtavuna mabua, wajanja wanamega Nchi Kisela wengine mnabaki kushabikia msivyovijua.
Tukutane Sinza location tutapangaTukutane wapi?
Haya panga location utuambieTukutane Sinza location tutapanga
Habari,
Ambao tuna jambo letu la shukrani kwa Mungu tukutane Alhamisi hii ya tar 17 Machi, 2022. Mimi nasherehekea mwaka mmoja wa uongozi wa Samia Suluhu maana najua tangu Magufuli afe tarehe 17 Machi 2021 SAMIA SULUHU ndiye kawa kiongozi mpaka sasa.
Ninaweza kuorodhesha mazuri ya RAIS SAMIA SULUHU yaliyonisukuma kufanya sherehe lakini nashindwa maana ni mengi.
Tumieni uhuru wenu wa kikatiba kufanya sherehe za kumuenzi Magufuli kwa mema yake ikiwemo kuzalisha vijana wachapakazi kama Sabaya, Makonda n.k na sisi tutatumia Uhuru wetu wa kikatiba bila ya kuwatilia fujo kufanya sherehe zetu.
Kama mlifukuzwa makazini kwa vyeti feki kaeni kwa utulivu.
Kama mlikuwa Majizi mkatumbuliwa kwa Wizi tulizeni akili.
Kama mlitumbuliwa kwa Uzembe jifunzeni kuchapa kazi.
Kama mlizoea kupiga madili na kuweka maslahi yenu mbele rudini mkaibe tena maaana shamba la bibi liko wazi sasa Tanesco Umeme mnaugawa kwa michongo, Treni ya Arusha hakuna kitu, SGR mmegoma kuipa kipaumbele, Bwawa la Nyerere ni danadana, mashuleni Michango imerudi, Mtaaani Uhalifu umerudi, Makazini Uzembe umejaaa maradufu, Mahospitalini Unakufa huku unajiona.
Inshort Mmepoteza dirra na Watanzania kuwaongoza kwa kucheka nao mtavuna mabua, wajanja wanamega Nchi Kisela wengine mnabaki kushabikia msivyovijua.
Yule mzee daaaahhh.Nitakunywa bia nyingi mnooooooooo kusheherekea kifo cha John Jozee Pombeee Makufulilo.
Mama wewe si upo karibu na Sinza hebu tafuta hotel nzuri kisha bill nitalipa Mimi mapema keshoHaya panga location utuambie
Weka namba yako hapa Verified ya simu nikutumie LAKI 5 cash ikupunguzie Makasiriko Mkuu. JF siyo Faceboook ujueNa
Usikute mleta mada hata uhakika wa chai wala cha mchana hana, anafikiria kufanya sherehe machi 17😁
VisionKama mlifukuzwa makazini kwa vyeti feki kaeni kwa utulivu.
Kama mlikuwa Majizi mkatumbuliwa kwa Wizi tulizeni akili.
Kama mlitumbuliwa kwa Uzembe jifunzeni kuchapa kazi.
Kama mlizoea kupiga madili na kuweka maslahi yenu mbele rudini mkaibe tena maaana shamba la bibi liko wazi sasa Tanesco Umeme mnaugawa kwa michongo, Treni ya Arusha hakuna kitu, SGR mmegoma kuipa kipaumbele, Bwawa la Nyerere ni danadana, mashuleni Michango imerudi, Mtaaani Uhalifu umerudi, Makazini Uzembe umejaaa maradufu, Mahospitalini Unakufa huku unajiona.
Inshort Mmepoteza dirra na Watanzania kuwaongoza kwa kucheka nao mtavuna mabua, wajanja wanamega Nchi Kisela wengine mnabaki kushabikia msivyovijua.
Amepelekwa uhamishoni kiaina.Ngoja tumwapishe huyu ana kelele sana