Tarehe 17 March 2021, Makamu wa Rais akitangaza kifo cha aliyekuwa rais Ndugu Hayati Magufuli ulikuwa wapi?

Tarehe 17 March 2021, Makamu wa Rais akitangaza kifo cha aliyekuwa rais Ndugu Hayati Magufuli ulikuwa wapi?

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Binafsi taarifa za msiba wa Rais nilizipata nikiwa njiani, nimepanda basi la Majinja likilokuwa linàfanya safari za wizi za usiku, likitoka Dar kuelekea Mbeya. Safari yangu ilikuwa ikiishia Mafinga mkoani Iringa.

Nilikuwa nime tune Radio 1, ndipo wakakata matangazo na tukaunganishwa na TBC.

Makamu wa Rais alipotangaza tukio lile, basi likageuka kama la kusafirisha msiba, vilio vikatawala, hadi nafika Mafinga, mji wote una msiba.

Je, mwenzangu msiba ulikukutia wapi? Hali ilikuwaje?
 
Msiba ulikukutia wapi?
Nikiwa home sebuleni....si unajua tena baadhi ya watumishi hatukumkubali sababu kuminywa mambo mengi....Lakini niliposikia tu nilipata uchungu kama mzazi....Kama mwanadamu aisee nililia kwa uchungu mno...nilishindwa jizuia Kabisa....ilikuwa ghafla mno....aisee....baba ni baba tu😭😭😭😭 Mungu akusamehe ulipojikwaa iwe kwa kukusudia au kuamriwa na wenye nchi ....R I P Kamanda 🙏🏽
 
Nikiwa home sebuleni....si unajua tena baadhi ya watumishi hatukumkubali sababu kuminywa mambo mengi....Lakini niliposikia tu nilipata uchungu kama mzazi....Kama mwanadamu aisee nililia kwa uchungu mno...nilishindwa jizuia Kabisa....ilikuwa ghafla mno....aisee....baba ni baba tu😭😭😭😭 Mungu akusamehe ulipojikwaa iwe kwa kukusudia au kuamriwa na wenye nchi ....R I P Kamanda 🙏🏽
Pole
 
Binafsi taarifa za msiba wa rais nilizipata nikiwa njiani, nimepanda basi la Majinja likilokuwa linàfanya safari za wizi za usiku, likitoka Dar kuelekea Mbeya. Safari yangu ilikuwa ikiishia Mafinga mkoani Iringa.

Nilikuwa nime tune Radio 1, ndipo wakakata matangazo na tukaunganishwa na TBC.

Makamu wa Rais alipotangaza tukio lile, basi likageuka kama la kusafirisha msiba, vilio vikatawala, hadi nafika Mafinga, mji wote una msiba.

Je mwenzangu msiba ulikukutia wapi? Hali ilikuwaje?
Nakumbuka siku hiyo humu jamvin kwenye huo uzi wa breaking news ya Jiwe kunyoosha member Scars alipanic kichiz.
 
Binafsi taarifa za msiba wa rais nilizipata nikiwa njiani, nimepanda basi la Majinja likilokuwa linàfanya safari za wizi za usiku, likitoka Dar kuelekea Mbeya. Safari yangu ilikuwa ikiishia Mafinga mkoani Iringa.

Nilikuwa nime tune Radio 1, ndipo wakakata matangazo na tukaunganishwa na TBC.

Makamu wa Rais alipotangaza tukio lile, basi likageuka kama la kusafirisha msiba, vilio vikatawala, hadi nafika Mafinga, mji wote una msiba.

Je mwenzangu msiba ulikukutia wapi? Hali ilikuwaje?
Kinondoni, tulikesha kwa shangwe hadi polisi wakaja kututawanya na mabomu ya machozi na gari la maji ya kuwasha
 
Back
Top Bottom