KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #41
SwadaktaIlikuwa ni form 6, tunakaza msuli kukitafuta chuo
Mm nimelala zangu bwenini, jamaa kutoka bweni jingine wakaidaka taarifa Kwa kutumia simu. Wadau hawakuamini, ikabidi waende staff (mle Kuna tv, inayotumiwa na walinzi wa shule)
Kesho yake, Head Master anakuja kutangaza..Kila mtu ana taarifa [emoji23][emoji23]
Kilichobaki ni kujazana dining hall kuangalia TBC tu
Shule ilikuwa kama km 100 kutoka chato, wadau siku ya mazishi walitimba