KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Msiba ulikukutia wapi?Jamani!😒
Kuna sehemu Mafinga ilipigwa bonge la party wafanyabiashara walikesha wakufurahiNilikuwa Arusha kwenyw bar moja hivi. Tulipopata habari tukaahirisha kwenda home, tulikunywa pombe zote kwenye ile bar impaka ikafilisika vinywaji.
Nikiwa home sebuleni....si unajua tena baadhi ya watumishi hatukumkubali sababu kuminywa mambo mengi....Lakini niliposikia tu nilipata uchungu kama mzazi....Kama mwanadamu aisee nililia kwa uchungu mno...nilishindwa jizuia Kabisa....ilikuwa ghafla mno....aisee....baba ni baba tu😭😭😭😭 Mungu akusamehe ulipojikwaa iwe kwa kukusudia au kuamriwa na wenye nchi ....R I P Kamanda 🙏🏽Msiba ulikukutia wapi?
Huku mbeya kuna watu walivaa boksa na soksi wakiwa kwenye bodaboda wakishangiliaKuna sehemu Mafinga ilipigwa bonge la party wafanyabiashara walikesha wakufurahi
PoleNikiwa home sebuleni....si unajua tena baadhi ya watumishi hatukumkubali sababu kuminywa mambo mengi....Lakini niliposikia tu nilipata uchungu kama mzazi....Kama mwanadamu aisee nililia kwa uchungu mno...nilishindwa jizuia Kabisa....ilikuwa ghafla mno....aisee....baba ni baba tu😭😭😭😭 Mungu akusamehe ulipojikwaa iwe kwa kukusudia au kuamriwa na wenye nchi ....R I P Kamanda 🙏🏽
Hii inaonesha alikuwa na upande wenye giza totoro. Alipoondoka watu wakaiona nuruHuku mbeya kuna watu walivaa boksa na soksi wakiwa kwenye bodaboda wakishangilia
Nakumbuka siku hiyo humu jamvin kwenye huo uzi wa breaking news ya Jiwe kunyoosha member Scars alipanic kichiz.Binafsi taarifa za msiba wa rais nilizipata nikiwa njiani, nimepanda basi la Majinja likilokuwa linàfanya safari za wizi za usiku, likitoka Dar kuelekea Mbeya. Safari yangu ilikuwa ikiishia Mafinga mkoani Iringa.
Nilikuwa nime tune Radio 1, ndipo wakakata matangazo na tukaunganishwa na TBC.
Makamu wa Rais alipotangaza tukio lile, basi likageuka kama la kusafirisha msiba, vilio vikatawala, hadi nafika Mafinga, mji wote una msiba.
Je mwenzangu msiba ulikukutia wapi? Hali ilikuwaje?
Yeah....yaan daahHii inaonesha alikuwa na upande wenye giza totoro. Alipoondoka watu wakaiona nuru
Hahaha. Baada ya hapo ukarudi manyatta huko buax ukalala fofofo hadi kusahau kupeleka mbusii malishoni asubuhi.Nilikuwa Arusha kwenye bar moja hivi. Tulipopata habari tukaahirisha kwenda home, tulikunywa pombe zote kwenye ile bar mpaka ikafilisika vinywaji.
Haya sasa tumewaletea wali wenye virutubisho mkale mifuko yote ileNilikuwa Arusha kwenye bar moja hivi. Tulipopata habari tukaahirisha kwenda home, tulikunywa pombe zote kwenye ile bar mpaka ikafilisika vinywaji.
Nakumbuka niliandika comment yenye maneno kama haya " kuna mtu anaangalia TBC muda huu"
Ungekuwa mnyakyusa mwanao ungempa jina la Magufuli Mwakaparty MwakufaNilikua nyumbani nimelala na mimba yangu baba watatu akanifata twende kwenye party eti kuna sherehe..... Na mtumbo wangu huyooo mida ya saa kumi uchungu ukaanza saa moja kasoro nikapata wanangu.
Kinondoni, tulikesha kwa shangwe hadi polisi wakaja kututawanya na mabomu ya machozi na gari la maji ya kuwashaBinafsi taarifa za msiba wa rais nilizipata nikiwa njiani, nimepanda basi la Majinja likilokuwa linàfanya safari za wizi za usiku, likitoka Dar kuelekea Mbeya. Safari yangu ilikuwa ikiishia Mafinga mkoani Iringa.
Nilikuwa nime tune Radio 1, ndipo wakakata matangazo na tukaunganishwa na TBC.
Makamu wa Rais alipotangaza tukio lile, basi likageuka kama la kusafirisha msiba, vilio vikatawala, hadi nafika Mafinga, mji wote una msiba.
Je mwenzangu msiba ulikukutia wapi? Hali ilikuwaje?