KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
-
- #41
SwadaktaIlikuwa ni form 6, tunakaza msuli kukitafuta chuo
Mm nimelala zangu bwenini, jamaa kutoka bweni jingine wakaidaka taarifa Kwa kutumia simu. Wadau hawakuamini, ikabidi waende staff (mle Kuna tv, inayotumiwa na walinzi wa shule)
Kesho yake, Head Master anakuja kutangaza..Kila mtu ana taarifa [emoji23][emoji23]
Kilichobaki ni kujazana dining hall kuangalia TBC tu
Shule ilikuwa kama km 100 kutoka chato, wadau siku ya mazishi walitimba
Ndagha mwalilileNilikuwa Bujonde kwenye msiba wa bibi yangu.
Sikuhuzunika sana niliposikia maana tayari nilikuwa na majonzi yangu.
Ukatili ni mbaya, hilo ndilo somo kubwa alilotuachia mwendazakeNilikuwa Arusha ......Majengo nimeshalala ,ghafla napigiwa simu na wife ile kupokea namsikia analia huku akitamka maneno "baba amekufa!.....baba amekufa", nikahamaki.
Nilipomhoji vizuri akanielezea kuwa Magu kavuta, nikamwambia tulia bas kwani hata ukilia itakusaidia nini? Nikakata simu nikapunguza sauti ya redio......laaaahaulaaaaa! Nilisikia shangwe la kufa mtu nje mtaani.
Nikaongeza sauti ya redio nikalala
HakikaUkatili ni mbaya, hilo ndilo somo kubwa alilotuachia mwendazake
[emoji23][emoji23]Kwa miguu?
Hata nikiwa mr President kesho, ukizingua nakufunga kwenye viroba nakutupia kwenye maji ukaliwe na samaki unajiona.Ukatili ni mbaya, hilo ndilo somo kubwa alilotuachia mwendazake
Kipindi hicho....... .Nakumbuka siku hiyo humu jamvin kwenye huo uzi wa breaking news ya Jiwe kunyoosha member Scars alipanic kichiz.
Huruma ya kishetaniHata nikiwa mr President kesho, ukizingua nakufunga kwenye viroba nakutupia kwenye maji ukaliwe na samaki unajiona.
Jpm alikuwa na huruma sana.
I wish niwataje nilitoa watatuUngekuwa mnyakyusa mwanao ungempa jina la Magufuli Mwakaparty Mwakufa
Duh hongera sana mamaaI wish niwataje nilitoa watatu
EnaaNdagha mwalilile