Tarehe 17 March 2021, Makamu wa Rais akitangaza kifo cha aliyekuwa rais Ndugu Hayati Magufuli ulikuwa wapi?

Aiseee hyo siku nililia sanaa nilikua nipo kwny nyumba ya kupanga wapangaji wote tulitoka nje tukaanza kulia daahh wamama full vilio hadi balaa aiseee[emoji119]
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…