Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K



Huyu ni Michael bettaney afisa wa M15 aliyekuwa na mawasiliano na Siri na Arkadi guk na maafisa kadhaa wa Soviet ,Ili kuvujisha Siri . Alijiita KOBA .
Alishtakiwa kwa makosa kumi ya uhaini na kukiuka taratibu za kazi za usalama wa taifa la uingereza.
 

Attachments

  • IMG_20230502_104057_100.jpg
    81.1 KB · Views: 52
Picha hiyo ya pili ni mwanamama Eliza Manningham - Buller. Alikuwa ni miongoni mwa Memba wa kikosi kazi kilichoundwa na M16 &M15 Kwa ajili ya kumnasa Koba.
Mwanamama huyu baadaye alikuja kuwa mkurugenzi wa M15. Akiiongoza kuanzia mwaka 2002 Hadi 2007.
 
Kwa hio jamaa anafanya biashara kupitia uanzilishi wa simulizi za watu ? Yaan kuna baadhi ya wabongo ni lala kweli unawezaje kufanya hivyo ndio maana yoga alipoona watu wanacopy story yake ya Dark Days aliacha mara moja kusimulia wabongo nyoso sana
Hili hili li Fortunatus Buyobe ndio liliiba srory ya Yoga kwenda kui post huko twitter
 
[emoji2][emoji2]huyu buyobe Hana haya Wala aibu ni mkavu kweli kweli Bora basi aseme ameitoa JF hasemi hafu huko twirani watu hawajamshtukia tu hata story NZuri ya yoga, umughaka kaiba, jamani huyu mwanaume mwizi kwerikweri in jiwes voice
Mm nlishtuka kuanzia nlivyoanza kuisoma nikasema ngj nimuache na yeye apate ugali wa watoto
 
Kwa mbaaalii naanza kuona na kuamini hii stori ya Oleg Gordievsky kuwekwa humu j.f . Imewauma baadhi ya watu Hadi huko Twitter . Kwani Kuna ubaya gani niliofanya ku share hii stori na waungwana humu ? . Hii ni user generated forum mtu anaandika na ku share anachoona kinafaa na Mimi nikaona ni vyema ku share lengo ni kuburidika na kuelimika kwa pamoja . Wengine wananiponda huko inbox kwamba ni najifanya mjuaji n.k. wengine wanasema kwamba ni acknowledge source sijui nimeitoa wapi hii story..nani kasema sita acknowledge sources au mlihisi nimejitungia hii stori..
By the way business as usual siwezi acha kuendelea . Labda nipigwe ban.
 
Inaonesha wameanza kukuzngua chinichini aisee
 
Mkasubir mwenye akil zake mcTobby aanze na nyie mjifanye mnajua mafala nyie.. wivu tu umewajaa..mlifikir ni wenywew tu mnajua hiz vitu kumbe kuna wenye roho za kiungwana wanaopenda ku share maarifa...kafie mbele hukoo mjinga mmoja wewe tuache
Hahaaa umemwambia ukweli wanataka story zao zilipiwe sijui walikuwa wapi. Wachawi ni watu wabaya sana [emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji2][emoji2] achana na hao watu mkuu, vile wameona umeelezea story vizuri na mtiririko bila kusumbua na story inaeleweka ndio wanakuja. I think Kuna kawivu pia Kwa mbali [emoji2][emoji2].
Endelea na story avoid distractions za barking dog's
 
Inaonesha wameanza kukuzngua chinichini aisee
Asee sijui kwanini imewauma kiasi hiki . Mimi baada ya kuvutiwa na hii story nikaona siyo vibaya ku share na Wana jf humu Sina roho ya kwanini kiasi hicho. Nahisi wangenijua wangeniundia tume na kuituma kwangu. [emoji38][emoji38]. Mpaka Sasa sijaona kosa lolote nimefanya ku share hii stori humu.
 
Mkulu usiumize kichwa, hao hata kwetu wapo, achana nao piga kazi, watanyooshwa na matokeo ya kazi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…