Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Unajua CFR
 
good plan
 
Ngoja tuone, jamaa kama alikuwa anatazamwa 24hrs sasa hiyo plan mbona kama ilikuwa uchi sana.

Maana ukianza kwenda uelekeo ambao haulewiki inakuwa vipi?

Je, hakuwa na katazo la kutembea umbali fulani? Naona kama alikuwa anatembea popote anapojisikia.

Tupia mzee hata episode 3 [emoji28][emoji28]
 
Ukifatilia ,kunasehemu aliandika kimemo alichotaka kuwapa M16 kama alarm kwamba anafatiliwa na anawaasa wawe makini na ajali na Kuna radioactive dust

Mwamba ,alishagundua kitu lakini KGB hawakujua kashawajua kilakitu...... Hebu tusubirie mbeleni huko ,aliachana na zile nguo na vile viatu kuvaa vilivyokua na vumbi Ili afanikishe kusepa ....... Ngoja tumsubirie

MC M16 tobby
 
KGB wanafanya mistakes sana kwa Oleg,huyu wangemuhifadhi chimbo
 
KGB wanafanya mistakes sana kwa Oleg,huyu wangemuhifadhi chimbo
Kumuhufadhi ni ngumu kutokana na cheo alichokuwa nacho.. Kwa cheo hicho lazima wawe na ushahidi wakutosha kumdhibiti Kumbuka hadi muda huo walikuwa wanamhisi tu na yeye anajua wanamhisi tu so anajihami sana.
Na inavyoonekana hao wanaomfuatilia hawana uwezo kamshinda yeye, anajua kuwakataa zaidi wajuavyo [emoji23]
 
Yan kile kitendo cha kuisafirisha familia yake tuu ilikua ni kigezo tosha cha kumtilia mashaka zaidi na kum tight nyavuni

Bado haikuwa sababu tosha ya kuizuia familia hasa ukizingatia wanapo kwenda huko ni kwa the former KGB[emoji23].

Nadhani pia walichodhamiria ni kumfuatilia kupata ushahid zaidi kuliko kumhifadhi pamoja na familia yake.

Mpe uhuru, lkn bakini naye macho. Wakiamini kbs kuna sehemu tu atajaa kama kweli anawasaliti.
 
KGB wanafanya mistakes sana kwa Oleg,huyu wangemuhifadhi chimbo


Yan kile kitendo cha kuisafirisha familia yake tuu ilikua ni kigezo tosha cha kumtilia mashaka zaidi na kum tight nyavuni

Ndugu zangu ni kwamba hapa tunababwaja tu lakini ukweli ni kwamba hawa KGB walionyesha udhaifu uliopindukia mipaka ama kwa lugha nyepesi udhaifu kiwango cha laMi😂😂
 
Ndugu zangu ni kwamba hapa tunababwaja tu lakini ukweli ni kwamba hawa KGB walionyesha udhaifu uliopindukia mipaka ama kwa lugha nyepesi udhaifu kiwango cha laMi[emoji23][emoji23]
Muda mwingine mkiwa mnasoma taarifa kama hizi muwe na tafakuri. Mmeambiwa kuanzia cheo Cha Kanali kinahitaji ushahidi ndio atuhumiwe, unadhani ukilichukua swala kama hilo kichwa kichwa utaleta picha gani Kwa Waandamizi wengine kama yeye.
 
Nilishawahi kushauri kuhusu haya mambo. Lakini kwa sababu raia tupo branded kuwa HATUNA AKILI kama za mafisadi wanaowamiliki watu wa vitengo. Tutaendelea kuumia mioyoni huku nchi yetu ikiporomoka

Soma hapa Tanzania inacheza upatu kwenye ujasusi wa kouchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…