Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Snowden kesi yake ni ya tofauti. Alikimbilia Urusi baada ya kuyatibua kwake. Na ili kujitafutia usalama akacheza karata ili alindwe vizuri lazima akimbilie kwenye Taifa lenye nguvu shindani wa USA. Vinginevyo angekimbilia kwingine aither angekuwa amekamatwa au amerudishwa. Sasa nao urusi ili kuendelea kujionyesha ubabe kwa USA imebidi wamhifadhi kuendelea kuwakera USA na huyo ni karata yao nyingine,wamejiwekea akiba. Ipo siku watabadirishana huyo na mateka wao kutoka USA.Hata Urusi kuna aliowapa makaz na anawalinda kinomanoma km Snowden na wengineo
KabisaMkuu hapo ni sawa na kumtaka pope wa kikatoriki awe muislam au mufti mkuu awe mkristo.
Kwa kipindi kile kuonesha umagharibi kidogo tu unatiliwa mashaka.
Na Oleg asingekua double agent vita ingetokea ujue..
NipoOOOO team OLEGTEAM OLEG........
jamaa mwamba sana..
Hapo mkuu ujue unabishana na walio upande wa Urusi mpaka kwenye vita ya sasa kati ya Urusi na Ukraine. Mpaka sasa nimegundua kuna mgawanyiko wa members hapa ubaoni walio upande wa West na east na mpaka kwenye vita vinavyoebdelea hivi sasakwa mtazamo wa haraka haraka tu West wangeshinda vita, refer Umoja waliokuwa nao yaani West + Us + support ya nchi nyingine duniani. Kumbuka kipindi hicho ndio soviet ilikuwa inaanguka na kukimbiwa na wanachama wengi
Kim Philby mbona walimtunza na kumpa usalamaSnowden kesi yake ni ya tofauti. Alikimbilia Urusi baada ya kuyatibua kwake. Na ili kujitafutia usalama akacheza karata ili alindwe vizuri lazima akimbilie kwenye Taifa lenye nguvu shindani wa USA. Vinginevyo angekimbilia kwingine aither angekuwa amekamatwa au amerudishwa. Sasa nao urusi ili kuendelea kujionyesha ubabe kwa USA imebidi wamhifadhi kuendelea kuwakera USA na huyo ni karata yao nyingine,wamejiwekea akiba. Ipo siku watabadirishana huyo na mateka wao kutoka USA.
Kuna yule jomba na safari yake ya Katshongo huko DRC alishafika? 😄😄😄Kuna lile puuzi la Hatma ya Maisha yake na Kijana wa Buguruni lihuni tu.
Kwa kilichompata Lissu sidhani kama ungekuwa hata wewe ungebaki nchini, wale jamaa waliishi maisha ya shida sana. Soma story moja Twitter kama sijakosea alitoa Meya Boniface wa Ubungo utaona maisha yao yalivyokuwa.Sawa tu msaliti si wakumchekea huyo ni zaidi ya ibilisi uyuda wake unaleta madhara makubwa Kwa watu wengi.
Hafu hii story inaonyesha ni jinsi Gani hata wanasiasa wetu walivo Rais kutumika na mataifa ya nje hata hao waliojifanya kukimbia nchi wafadhili waliwatorosha, ingawa nilikuwa sikubaliani na madudu yaliyokuwa yanaendelea nchi ikiwemo uchaguzi wa hovyo
Abaki kufanya nini alikuwa puppet wao ndio maana embassy ilimsaidia hasa kipindi Cha zile case za madini yaoKwa kilichompata Lissu sidhani kama ungekuwa hata wewe ungebaki nchini, wale jamaa waliishi maisha ya shida sana. Soma story moja Twitter kama sijakosea alitoa Meya Boniface wa Ubungo utaona maisha yao yalivyokuwa.
Wanasiasa na bongo muvi huwez watofautishaKwa kilichompata Lissu sidhani kama ungekuwa hata wewe ungebaki nchini, wale jamaa waliishi maisha ya shida sana. Soma story moja Twitter kama sijakosea alitoa Meya Boniface wa Ubungo utaona maisha yao yalivyokuwa.
[emoji28]Yuko vizuri Kwa kuvizia
Iweke hapa mkuuKwa kilichompata Lissu sidhani kama ungekuwa hata wewe ungebaki nchini, wale jamaa waliishi maisha ya shida sana. Soma story moja Twitter kama sijakosea alitoa Meya Boniface wa Ubungo utaona maisha yao yalivyokuwa.
Hakuna kiongozi wa kiafrika asiye puppet wa mataifa ya nje, viongozi wengi wamepata madaraka kwa support ya magharibi au mashariki.Abaki kufanya nini alikuwa puppet wao ndio maana embassy ilimsaidia hasa kipindi Cha zile case za madini yao
Kazi ipo na hii ni changamoto ya nchi za Africa tuna puppets leaders and flag independenceHakuna kiongozi wa kiafrika asiye puppet wa mataifa ya nje, viongozi wengi wamepata madaraka kwa support ya magharibi au mashariki.
Badiri hiyo I'd mkuuKumuhufadhi ni ngumu kutokana na cheo alichokuwa nacho.. Kwa cheo hicho lazima wawe na ushahidi wakutosha kumdhibiti Kumbuka hadi muda huo walikuwa wanamhisi tu na yeye anajua wanamhisi tu so anajihami sana.
Na inavyoonekana hao wanaomfuatilia hawana uwezo kamshinda yeye, anajua kuwakataa zaidi wajuavyo [emoji23]
GoodMuda mwingine mkiwa mnasoma taarifa kama hizi muwe na tafakuri. Mmeambiwa kuanzia cheo Cha Kanali kinahitaji ushahidi ndio atuhumiwe, unadhani ukilichukua swala kama hilo kichwa kichwa utaleta picha gani Kwa Waandamizi wengine kama yeye.
[emoji28][emoji28][emoji28]...! Utakula bakora hatariiiNatamani kuwa double agent ccm na chadema
Nimecheka sana, mwanaume akibanduliwa akili yake huvurugwa kabisa, kumbe sababu imejulikanaHivi ile tabia yako yakubanduliwa tulivyokuwa shule uliiyacha?
Nabadili vipi? Nibadilishie Kama unaweza.Badiri hiyo I'd mkuu
Na bahati mbaya sio leo kutokea kiongozi mwenye maono ya mbali akaliona hili kwamba aanzie kuliimalisha hili lidubwasha kuanzia kuifumua. Peleka watu wakosomee,mafunzo maalum.Tunayo safari ndefu tuko conservative mno imagine budget kubwa inatumika kulinda wanasiasa madarakani badala ya hyo nguvu kubwa kutumika Kwa ajili ya mstakabali na maendeleo ya nchi. We need reformation kulingana na nyakati za Sasa ni ujinga kuendelea kuwa maskini wakati we have all machinery to change. Miaka ya uhuru nchi ka china, malysia, tulikuwa almost the same kwenye maendeleo Yao, ila ilibidi wabadilike kulingana na nyakati, Sasa china inatishia kuipita USA kama superpower, sisi huku intelligence system inasifika kulinda wanasiasa na kuiba kura, ni aibu sana
Shida watanzania hatutaki mabadiliko kulingana na nyakati hasa mafunzo ya juu ingawa Huwa wanaenda mafunzoniNa bahati mbaya sio leo kutokea kiongozi mwenye maono ya mbali akaliona hili kwamba aanzie kuliimalisha hili lidubwasha kuanzia kuifumua. Peleka watu wakosomee,mafunzo maalum.