Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

[emoji23][emoji23][emoji23]nmependa sana akili kubwa ya CIA kweli kazi ya Intelijensia inahitaji watu wenye akili kung'amua mambo.
 
At your own risk! Adhabu ya usaliti kwa Taifa bora uhujumu uchumi.
 
Na ukiweza kutoroka unakuwa ni mtu wa kujificha tu.
Labda utoroke Nchi yaani Tena ukimbilie Huko marekani vijijini kule mashambani kabisa au Huko visiwa vya Papua new guinea ukaishi Huko , unless wakijua upo karibu halafu ukute ishu yako ni nzito lazima utumiwe hit squad wakuondoe
 
[emoji2][emoji2]huyu buyobe Hana haya Wala aibu ni mkavu kweli kweli Bora basi aseme ameitoa JF hasemi hafu huko twirani watu hawajamshtukia tu hata story NZuri ya yoga, umughaka kaiba, jamani huyu mwanaume mwizi kwerikweri in jiwes voice
Kama anaweza kuiba stori ya Umughaka basi kachoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…