Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Huwa najiuliza hizi signal wanazopeana za kuacha kitu sehem then mwengine anachukua na kuacha signal kuwa amepokea mzigo.. Hizo signals wanakuwa wamepewa kwenye training zao huko ujasusini collages au wanajiongeza tu juu kwa juu!?
Nahisi kuna maelekezo yanatangulia namna watakavyopeana signal
 
 
Nitarudi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…