Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wanapenda kubembelezwa ila pia inategemea na jukwaa jinsi lilivo serious na watu wakeJambo jema sana sio wale wa kuchelewesha...
Ila sasa shemela huu mzigo wa Ukraine naona kama KGB/FSB wamepigwa za uso mazima.Aisee kazi kubwa inahitajika nikisoma hii story ina reflect mengi hata vita vya Ukraine si Bure Wala. Ila kuwekeza kwenye intelligence makini ni muhimu Kwa msitakabali wa taifa lolote makini
SawasawaNahisi ni FSB kwa Sasa..
Hata hawajapigwa naona FSB ni vidume sema Sasa western countries walieneza propaganda za uongo kupitia media zao Dunia, mara vikwazo vya uchumi vimeshindwa Hali mbaya Kwa background ndio maana huoni kina CNN sijui bbc wakiupdate.Ila sasa shemela huu mzigo wa Ukraine naona kama KGB/FSB wamepigwa za uso mazima.
Kwetu sisi wako makini, ila wameingiza uchotora siku za karibuni...vijana wa chama.Aisee kazi kubwa inahitajika nikisoma hii story ina reflect mengi hata vita vya Ukraine si Bure Wala. Ila kuwekeza kwenye intelligence makini ni muhimu Kwa msitakabali wa taifa lolote makini
Ila hawajawa smart Kwa kiasi hicho tumeachwa mbali vilevile nchi yetu Haina mambo mengi.Kwetu sisi wako makini, ila wameingiza uchotora siku za karibuni...vijana wa chama.
Zamani vijana walikuwa wazalendo kwelikweli kutoka chamani. Siku hizi Mungu asaidie tu.
Nilisoma sehemu kwenye hii issue ya Oleg nikaona kuna connection kubwa kati ya kipenyo na chama/watawala. Though kule America-CIA/FBI naona wana operate in a different modern way.Ila hawajawa smart Kwa kiasi hicho tumeachwa mbali vilevile nchi yetu Haina mambo mengi.
Ila vijana wa chama mboga Huwa hawanaga akili na u smart wowote
Tunapeleka kupata mafunzo Urusi, Israel China nk. baada ya 911, USA pia.Ila hawajawa smart Kwa kiasi hicho tumeachwa mbali vilevile nchi yetu Haina mambo mengi.
Ila vijana wa chama mboga Huwa hawanaga akili na u smart wowote
SawasawaNilisoma sehemu kwenye hii issue ya Oleg nikaona kuna connection kubwa kati ya kipenyo na chama/watawala. Though kule America-CIA/FBI naona wana operate in a different modern way.
Na sisi huku vipenyo si ndio mboga za majani Ina make sense Sasa utampaje mtu nafasi anayeamini ideology nyingine atakuwa msaliti. I think hata uko USA Wana namna Yao ya ku recruit nadhani sifa mojawapo ni uzalendoNilisoma sehemu kwenye hii issue ya Oleg nikaona kuna connection kubwa kati ya kipenyo na chama/watawala. Though kule America-CIA/FBI naona wana operate in a different modern way.
Duh kumbe huko kote Huwa wanaenda, Kuna mtu namfahamu Yani matendo yake alienda kusoma Israel na mafunzo ya juu na kaenda nchi mbalimbali Sasa nikisoma hii story nimeelewa vitu vingi.Tunapeleka kupata mafunzo Urusi, Israel China nk. baada ya 911, USA pia.
Siasa inachangia kuondoa weledi kwenye utendaji. Ila tunao watu mahiri SANA...ukiondoa tamaa ndogondogo za wanasiasa kuwatumia.
U.S wao wanaangalia key stakeholders kufikia lengo ndio maana hata usishangae baadhi yao wapo humu,tangu wafanyiwe mbaya kule japan wamejichimbia kila kona ya dunia na nguzo ya kubwa ni ulaghai wa pesa kupata info.Na sisi huku vipenyo si ndio mboga za majani Ina make sense Sasa utampaje mtu nafasi anayeamini ideology nyingine atakuwa msaliti. I think hata uko USA Wana namna Yao ya ku recruit nadhani sifa mojawapo ni uzalendo
~Mosi mboga za majani ndio wapo vitengo nyetiDuh kumbe huko kote Huwa wanaenda, Kuna mtu namfahamu Yani matendo yake alienda kusoma Israel na mafunzo ya juu na kaenda nchi mbalimbali Sasa nikisoma hii story nimeelewa vitu vingi.
Ila hivi inakuwaje wanasiasa waongo waongo kuvishinda vyombo nyeti kinguvu, why wanasiasa wako more powerful in our country Hadi kuharibu weledi?
Ni muundo tu kwamba wanasiasa ndio wana mamlaka na idara. Mkuu wa Wilaya anamuamrisha OCD. Ni muundo tu.Duh kumbe huko kote Huwa wanaenda, Kuna mtu namfahamu Yani matendo yake alienda kusoma Israel na mafunzo ya juu na kaenda nchi mbalimbali Sasa nikisoma hii story nimeelewa vitu vingi.
Ila hivi inakuwaje wanasiasa waongo waongo kuvishinda vyombo nyeti kinguvu, why wanasiasa wako more powerful in our country Hadi kuharibu weledi?
Ndio maana katiba ibadilishe mambo Sasa mwanasiasa anaangalia nafasi yake kuliko kuangalia masilahi mapana ya nchi. So it's dangerous ku handle all power Kwa politicians ambao ni corrupt wanaoangalia matumbo Yao, hao si rahisi kuwa kama OlegNi muundo tu kwamba wanasiasa ndio wana mamlaka na idara. Mkuu wa Wilaya anamuamrisha OCD. Ni muundo tu.
Sawasawa..Ndio maana katiba ibadilishe mambo Sasa mwanasiasa anaangalia nafasi yake kuliko kuangalia masilahi mapana ya nchi. So it's dangerous ku handle all power Kwa politicians ambao ni corrupt wanaoangalia matumbo Yao, hao si rahisi kuwa kama Oleg