PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haina haja ya kurekebisha kama fulani anabaki pale pale wa 7 kutoka mkiani[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haina haja ya kurekebisha kama fulani anabaki pale pale wa 7 kutoka mkiani[emoji23][emoji23]
Haja ipo kwasababu rank ni zaidi ya usimba na uyanga. Kila timu inapaswa kuwekwa kwenye position yake iliyokuwa sahihi hiyo ndio maana ya rankHaina haja ya kurekebisha kama fulani anabaki pale pale wa 7 kutoka mkiani[emoji23][emoji23]
Kumbe mnajua kbsa kuwa mmewazidi team sita tuAnatuona kama hatujui kitu
Embu na wewe tuwekee hapa iyo link anayoonyesha Yanga ni wa saba kutoka mwisho mwisho huko.Utopolo waone timu yao iko wapi!Wewe jamaa acha uongo Kaizer chiefs, as vita na Kabylie wapo juu ya Simba na pia Enyimba na Simba wapo sawa sawa point wote wana point 24. Kabylie ni wa 12 ana point 28, As vita ni wa 13 anapoint 26, Kaizer chiefs ni ya 14 inapoint 25. Enyimba ni ya 15 na Simba ni ya 16. Hiyo nduyo rank official ya CAF. Yanga ni ya 7 kutoka mwisho.
Yanga ndiyo dume la Simba.Embu na wewe tuwekee hapa iyo link anayoonyesha Yanga ni wa saba kutoka mwisho mwisho huko.Utopolo waone timu yao iko wapi!
cafcl Yanga kapelekwa na Simba,bila Simba Yanga asingecheza caf champion league.kwa hilo tu ishajulikana nani dume na nani jike.Yanga ndiyo dume la Simba.
Rank ni hii hapa ambayo ilitolewa na CAF siku waliopanga mechi za awali na za raundi ya pili za michuano ya klabu bingwa na shirikisho.Embu na wewe tuwekee hapa iyo link anayoonyesha Yanga ni wa saba kutoka mwisho mwisho huko.Utopolo waone timu yao iko wapi!
Yaani Utopolo amepitwa hadi na NamungoRank ni hii hapa ambayo ilitolewa na CAF siku waliopanga mechi za awali na za raundi ya pili za michuano ya klabu bingwa na shirikisho.
Nimeiona na nimefurahi sana Simba kuwa nafasi ya 16,Inshallah Simba hii ilivyo makini na uongozi bora na kikosi bora msimu huu itapaa mpaka top 5.Rank ni hii hapa ambayo ilitolewa na CAF siku waliopanga mechi za awali na za raundi ya pili za michuano ya klabu bingwa na shirikisho.
Akili za kushikiwa na Manara! Eti Manara kasema! 😂 😂 😂Umemsikia "Manara"? Amesema Mechi Inaisha Tarehe 12 hiyo ya Marudiano watawapeleka Yanga Princess. 😂 😂