Tetesi: Tarehe 21/12/2024 Mbowe atatangaza rasmi kutogombea uenyekiti na atamuunga mkono Tundu Lissu

Tetesi: Tarehe 21/12/2024 Mbowe atatangaza rasmi kutogombea uenyekiti na atamuunga mkono Tundu Lissu

Sijui itakuwaje huko mbeleni ila FAM atatangaza kugombea na atashinda. Labda Lissu atahamia ACT baada ya hapo.

Bila shaka chadema Itakuwa CUF ya Lipumba.

GflRcI0WsAAt-yv.jpeg


Kokote Lissu atakakuwa, wabangaizaji tutakuwa naye!
 
Hapo kwenye kuing'oa sisiem madarakani ndipo uongo, ulaghai na unafiki wa Mbowe unapoanzia. Na tukishinda nafasi ya uenyekiti tutamshughulikia kwa mujibu wa sheria na kanuni za chama na nchi.
 
Bado tu tarehe aijafika?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.

Atakuwa alikuwa anapima upepo:

Ggy5oBuWsAIjwyO.jpeg
 
Ingawa ujaweza kuniaminisha UKWELI wa hii taarifa ,lakini niseme , huu ndio UAMUZI SAHIHI kwa Mzee wetu Mbowe...MABADILIKO NI SASA!
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Umeingia jikoni kabisa Mkuu kesho nchi ITASIMAMA
 
Back
Top Bottom