Tarehe 23.10.2022 Siku ya Jumapili Simba akifanikiwa kumfunga Yanga niko pale!

Tarehe 23.10.2022 Siku ya Jumapili Simba akifanikiwa kumfunga Yanga niko pale!

Ahyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2019
Posts
2,310
Reaction score
5,482
Kwa ufupi sana, hiyo siku simba hawezi shinda, labda ashinde njaa. Hana ubavu wa kumfunga Yanga, akijitahidi sana basi atoe sare, na ni baada ya kupunguza magoli mawili ya Yanga ili iwe 1:1. Lakini uhalisia ni Yanga 3 : Simba 1.

Simba akifanikiwa kumfunga Yanga niko paleeee!
 
Kwa ufupi sana, hiyo siku simba hawezi shinda, labda ashinde njaa...
Hana ubavu wa kumfunga YANGA
Akijitahidi sana basi atoe sare, na ni baada ya kupunguza magoli mawili ya Yanga ili iwe 1:1
Lakini uhalisia ni Yanga 3 : Simba 1

Simba akifanikiwa kumfunga YANGA...!! Niko paleeee
Yaani umeandika kama unabakwa. Umeandika tu hisia zako bila kusema sababu
 
Yaani umeandika kama unabakwa. Umeandika tu hisia zako bila kusema sababu
Acha kuropoka experience ambayo unayo... Sio wote tunafanyiwa unachofanyiwa
 
MAMA SAMIA NI WAKATI WA KUITANGAZA YANGA NI ADUI WA TAIFA[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Ukiwa mshabiki wa Yanga akili zinapotea. Sasa hpa huko simba kufungwa mfululizo kuko wapi?.
Screenshot_20221020-205436_Instagram.jpg
 
Nadhani tumeelewana sasa
 
Kwa ufupi sana, hiyo siku simba hawezi shinda, labda ashinde njaa. Hana ubavu wa kumfunga Yanga, akijitahidi sana basi atoe sare, na ni baada ya kupunguza magoli mawili ya Yanga ili iwe 1:1. Lakini uhalisia ni Yanga 3 : Simba 1.

Simba akifanikiwa kumfunga Yanga niko paleeee!
Niko pale agiza Pepsi baridi kwa mangi nakuja lipa.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufupi sana, hiyo siku simba hawezi shinda, labda ashinde njaa. Hana ubavu wa kumfunga Yanga, akijitahidi sana basi atoe sare, na ni baada ya kupunguza magoli mawili ya Yanga ili iwe 1:1. Lakini uhalisia ni Yanga 3 : Simba 1.

Simba akifanikiwa kumfunga Yanga niko paleeee!
[emoji3]
 
Back
Top Bottom