ESCORT 1 JF-Expert Member Joined Dec 7, 2015 Posts 1,412 Reaction score 3,043 Oct 28, 2021 #1 Leo ni mwaka mmoja kamili tangu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 ufanyike. Unakumbuka nini katika uchaguzi huu?
Leo ni mwaka mmoja kamili tangu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 ufanyike. Unakumbuka nini katika uchaguzi huu?
The Monk Platinum Member Joined Oct 12, 2012 Posts 20,242 Reaction score 45,930 Oct 28, 2021 #2 Nakumbuka kuchelewa kwenda kupiga kura nikihofia wingi wa watu matokeo yake nilipofika kituoni hapakua na watu kabisa. Hii hali ikiendelea siku zijazo tutakabiliwa na tatizo kubwa sana la wapiga kura.
Nakumbuka kuchelewa kwenda kupiga kura nikihofia wingi wa watu matokeo yake nilipofika kituoni hapakua na watu kabisa. Hii hali ikiendelea siku zijazo tutakabiliwa na tatizo kubwa sana la wapiga kura.
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 23,620 Reaction score 52,790 Oct 28, 2021 #3 Nakumbuka kauli pendwa na maarufu ya "Mitano tena"
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 17,080 Reaction score 33,076 Oct 28, 2021 #4 Nakumbuka walivyochezea hela za walipa kodi huku wakijua hakuna uchaguzi wowote ni kuteuana tu.
M Mr Rigo Member Joined Mar 2, 2021 Posts 9 Reaction score 17 Oct 28, 2021 #5 Nakumbuka kuna madiwani na wabunge walipita kwa fogging ila Rais alipita kwa uhalali