SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,016
- 13,780
Siku hii niliota Magufuli anadondoka kutoka ghorofani, lakini kitu cha kushangaza akafika anasimama!Tarehe kama ya leo 25.10.2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha
Mnakumbuka?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Habari ndio hiyo.
View attachment 910048
Sikujua maana ya ile ndoto ila alipotangazwa na kuanza kutawala ndipo nikaelewa.