Tarehe kama ya leo Oktoba 25, 2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha, mnakumbuka?

Tarehe kama ya leo Oktoba 25, 2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha, mnakumbuka?

Tarehe kama ya leo tulifanya maamuzi ya kidemokrasia kama taifa katika uchaguzi mkuu na kupata serikali iliyoko madarakani sasa. Je wewe mdau wa maendeleo ya taifa lako unasemaje, unatembea kifua mbele na kujipongeza kwa uchaguzi wako kwa kutumia kura yako ama unajutia kwa kupeleka kura yako ulikoipiga,

Nimeiona hii katika Tweeter Account ya Wakili maarufu Jebra Kambole ambaye ' actually ' ndiyo ameandika hivi na hapa tena naiona ID yenye mwanzo wa herufi ' Je ' hivyo nikijiongeza mwenyewe ' Kimoyomoyo ' naweza kupata jibu ' mujarab ' kabisa. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Na nitafanya tena 2020 mwezi wa kumi tarehe tajwa na NEC.
Sijawahi jutia maamuzi yangu
Viva Magufuli.
 
Why ufurahie au ujutie? Maana anayefurahia anafaidika na anayejutia hafaidiki na kuna ambao yote ni sawa tu kwao maana hakuna lililopungua au kuongezeka. Kwa watumishi nidhamu imerudi kazini na wanalipwa mshahara on time lazima wafurahi ingawa nyongeza ya mshahara huenda bado. Kwa wafanyabiashara lazima “wafurahi” maana hawawezi tena kukwepa kodi. Kwa upinzani nao lazima “wafurahi” maana hawatumii hela nyingi kupiga siasa majukwaani kila siku mikoa yote na pia hawaumizwi sana maana hakuna maandamano kwa minajili hiyo hawasumbuliwi na vizuizi vya polisi. Kwa wasiofanya kazi lazima nao “wafurahi” maana asiyefanya kazi na asile.
Na CCM nao lazima wafurahi maana hawasumbuliwi tena kujibu hoja za wapinzani majukwaani toka kila kona ya nchi na wabunge wa upinzani wanahamia kwao
 
Siku hii niliota Magufuli anadondoka kutoka ghorofani, lakini kitu cha kushangaza akafika anasimama!
Sikujua maana ya ile ndoto ila alipotangazwa na kuanza kutawala ndipo nikaelewa.
Kwa iyo ndoto yako tafsir yake alishndwa kiualisia ndo maana ya kuanguka kutoka ghorofan ila kwa "muujiza wa IT" kashnda au?
 
Nimeiona hii katika Tweeter Account ya Wakili maarufu Jebra Kambole ambaye ' actually ' ndiyo ameandika hivi na hapa tena naiona ID yenye mwanzo wa herufi ' Je ' hivyo nikijiongeza mwenyewe ' Kimoyomoyo ' naweza kupata jibu ' mujarab ' kabisa. Naomba niishie hapa tafadhali.
Ipiiii
 
Ndiyo tulimtoa fisadi kwenye ramani ya siasa

Watanzania walifanya maamuzi ya hekima kumkataa Lowassa na kumsimika Magufuli. Bado naamini ulikuwa uamuzi sahiii kwani amekuja na operesheni safisha nchi"
Ilikuwa lazima kumshtukia Edward kwani alionekana "anapenda saaaaaaaaaana kwenda Ikulu" Hafai hata 2020.
Poleni timu Lowassa pamoja na kumlamba sana miguu EL mwaka 2015, uDC, u Salva na vyeo vingine mtaendelea kuvisikia kwenye u.tube!!! Mtapata taaabu sana! Kweli mkamia maji hayanywi. Hongera Jakaya kwa kukata mzizi wa fitina....
 
Mungu tusamehe kwa makosa ya kutokujua tuliyoyafanya tarehe 25/10/2015. Haya yalikuwa ni maamuzi ya kijinga yenye hasara kwa sasa na kizazi chetu. Matokeo ya uamuzi wetu yameifanya kaya yetu kuwa kambi ya chuki, vitisho, kutekwa, kupotezwa, kuminya demokrasia, kusigina katiba na mambo mengi ya hovyo hovyo. Tunaishi kama wakimbizi vile.
Hilo li laana limekuangukia wewe na kizazi chako milele yote walahi
Mwenye Enzi Mungu huwa hadhihakiwi walahi
 
Watanzania walifanya maamuzi ya hekima kumkataa Lowassa na kumsimika Magufuli. Bado naamini ulikuwa uamuzi sahiii kwani amekuja na operesheni safisha nchi"
Ilikuwa lazima kumshtukia Edward kwani alionekana "anapenda saaaaaaaaaana kwenda Ikulu" Hafai hata 2020.
Poleni timu Lowassa pamoja na kumlamba sana miguu EL mwaka 2015, uDC, u Salva na vyeo vingine mtaendelea kuvisikia kwenye u.tube!!! Mtapata taaabu sana! Kweli mkamia maji hayanywi. Hongera Jakaya kwa kukata mzizi wa fitina....
Yule fisadi
 
Back
Top Bottom