Tarehe kama ya leo Oktoba 25, 2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha, mnakumbuka?

Tarehe kama ya leo 25.10.2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha

Mnakumbuka?

[emoji23][emoji23][emoji23]

Habari ndio hiyo.
View attachment 910048
Siku hii niliota Magufuli anadondoka kutoka ghorofani, lakini kitu cha kushangaza akafika anasimama!
Sikujua maana ya ile ndoto ila alipotangazwa na kuanza kutawala ndipo nikaelewa.
 
Ndiyo ilikuwa siku ya Tanzania Mpya. Tanzania ya maendeleo. Hii safari mpaya 2035 panapo majaaliwa. Mungu tunaomba afya na uzima tuweze kuiona Tanzania yenye neema.
 
Mungu tusamehe kwa makosa ya kutokujua tuliyoyafanya tarehe 25/10/2015. Haya yalikuwa ni maamuzi ya kijinga yenye hasara kwa sasa na kizazi chetu. Matokeo ya uamuzi wetu yameifanya kaya yetu kuwa kambi ya chuki, vitisho, kutekwa, kupotezwa, kuminya demokrasia, kusigina katiba na mambo mengi ya hovyo hovyo. Tunaishi kama wakimbizi vile.
 
Hakika
 

Mungu tusamehe kwa kituko tulichofanya 25/10/2015. Tunajuta toka rohoni. Maamuzi tuliyoyafanya yameifanya Kaya yetu kuwa kambi ya kudumu ya chuki, vitisho, ubabe, kutekwa, risasi, kupotezwa na mengi ya hovyo yanayofanana na hayo.
 
Nikitembea kifua mbele niliyomchagua tarehe kama ya leo anakifumua...wacha nitulie ndani...!! Anasema uongozi ni mzigo ila 2020 atakuja kuomba kula na kura tens
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…