Tarehe kama ya leo Oktoba 25, 2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha, mnakumbuka?

Wa vyeti fake ,na wapiga deal utawajua tu kwa threads zao
 
Umenikumbusha kale kachumba na Ile mstari mrefu tuliopanga toka asubuhi. Wengine hata kanisani hatukwenda aisee
 
Chadema acheni unafiki ninyi mlichagua Fisadi Lowasa
 
Bwanaa bwanaa tulibinya binya nyanya tukanunua bilinganya. Nakumbuka mbali sana.
 
Miaka mitatu sasa ni vurugu kila mahali, halafu mwenyewe anaamini anajenga nchi...mauaji, vitisho, utekaji, watu kupotea,upendeleo, ukabila, ukanda, watu kunyang'anywa na kuharibiwa biashara zao na unyanyasaji uliokithiri na unaohamasishwa na Rais mwenyewe, ifike mahali tumkatalie huyu Jiwe!

 
Watanzania wanalia leo na kujilaumu laiti kama wangejua wasingepiga kura
Watanzania tuliowengi tunataka aendelee kuongoza nchihii, ila wezi wachache hawatatuzuia kuendelea kumpanafasi ya kuongoza.
 
Kwa mafisadi ,wachawi ,wapiga dili ,wauza madawa ya kulevya wa Ufipa nchi imevurugika kwelikweli .

Mtanyooka tu na ikifika 2025 tunaandamana aongezewe muda was kukaa madarakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…