Tarehe kama ya leo Yanga SC iligomea mchezo, kwa madai Simba SC kuvaa viatu vya mpira

Hahahaaa. Haujawahi tetemeka mkono wangu aiseee.

Sababu kikawaida Mtani najua mpira una matokea matatu hivyo kwa hali yeyote ile nitakuja tu labda mtandao usumbue. [emoji23][emoji23][emoji23]
Utetezi mapemaaaa. Tusubiri yatakayojiri
 
Hii ndo hali itakavyokuwa hapo Kesho kwenye vibanda umiza baada ya Simba kumrarua Yanga...Washabiki wa Yanga wasepa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kumbe watu wamepiga soka tangu enzi za utumwa!!! Safi sana hii.

Naomba tu ujulikane kesho nitakuwa na uzi mwekundu.
 
Inaonekana wewe ni mmoja wa wale wang'oa viti. Nakuona vile kesho utaenda na matokeo mfukoni
Hiyo ndio kawaida yao hawa watani zetu na hatutashangaa yakijirudia ya mwaka ule watu kuvunja viti wakidai wanaonewa. Teh teh teh.
 
Hii ndo hali itakavyokuwa hapo Kesho kwenye vibanda umiza baada ya Simba kumrarua Yanga...Washabiki wa Yanga wasepa[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 881599
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kinyume chake Mtani ni pale Uwanja utakapobaki mweupe upande wenu saa hiyo Yanga anaongoza halafu na dk zimeyoyoma.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahaaa. Naomba hili swali nikuulize mie bana. [emoji12][emoji12][emoji12]

Halafu hujanitag vizuri Mtani. Ndio maana nimechewa kuona.
Kesho mida kama hii jibu litakua limepatikana

Naona nilikutag kabisa ile comment yako ya mwanzo hata sujui imekuaje
 
Kesho mida kama hii jibu litakua limepatikana

Naona nilikutag kabisa ile comment yako ya mwanzo hata sujui imekuaje
Yaani wenye kucheka tunacheka na wenye kununa / kulia mnalia Mtani. 😜😜😜😜

Itakuwa hukutanguliza hii kitu @ ukiweka hiyo na kuandika ndio napata ujumbe.

Hivi ulikosaga timu ya kushangilia na weyee? πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ
 
Mapenzi yangu yote yapo Msimbazi ,hata ukipasua moyo wangu ni wekundu tu !!!Simba!! Simba!! Simba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…