Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

zingatia yafuatayo
i) mbegu za mtoto wa kike huishi muda mfupi kuliko za mtoto wa kiume
ii) mbegu za mtoto wa kike zina kasi kuliko za mtoto wa kiume


kwa hiyo mwanaume akifanya mapenzi mara kwa mara inamaana sha**wa
zitokazo zitakuwe nyepesi hivyo itawezesha mbegu zenye kasi (za mtoto wa kike)
kufikia target kabla za kiume matokeo ni kupata bebi gel

mwanaume asipofanya mara kwa mara sh***wa huwa nzito hivyo huchukua muda
kufikia target na kwa vile mbegu za mtoto wa kike huishi muda mfupi zita-expire njiani
na slow swimmer (mbegu za mtoto wa kiume) zitafika target salama na matokeo bebi boi

lakini yote haya yawezekana iwapo mambo mengine yako sawa, hivyo usiache kumuomba
mola wako akusaidie kurekebisha hayo mambo

Hapo umeenda kinyume kwa uelewa wangu.
1. Mbegu za mtoto wa kike huishi muda mrefu zaidi kuliko za mtoto wa kiume
2. Mbegu za mtoto wa kiume ndizo zenye kazi zaidi kuliko za mtoto wa kike

Narekebisha maelezo yakokama ifuatavyo:
((((((((((((((kwa hiyo mwanaume akifanya mapenzi mara kwa mara inamaana sha**wa
zitokazo zitakuwe nyepesi hivyo itawezesha mbegu zenye kasi (za mtoto wa kiume)
kufikia target kabla za kike matokeo ni kupata bebi boy

mwanaume asipofanya mara kwa mara sh***wa huwa nzito hivyo huchukua muda
kufikia target na kwa vile mbegu za mtoto wa kiume huishi muda mfupi zita-expire njiani
na slow swimmer (mbegu za mtoto wa kike) zitafika target salama na matokeo bebi gel

lakini yote haya yawezekana iwapo mambo mengine yako sawa, hivyo usiache kumuomba
mola wako akusaidie kurekebisha hayo mambo )))))))))))

Kama siko sahihi wataalamu wafafanue zaidi.
 
Godfrey, GM7 na Jack, wekeni supporting references ili tujue maelezo ya nani yanakaribiana na ukweli na yapi ya uongo.
 
hapa wengi ni wapotoshaji, unaweza kupata mtoto jinsia uipendayo kwa kuhesabu kalenda ya hedhi. Nenda jukwaa la JF doctor tafuta mada hii utaikuta ilishajadiliwa kwa kirefu sana na majibu ya uhakika yapo huko.
 
Wajumbe mi ninataka mtoto wa kike, tayari mtoto wa kiume ninae sasa niko kwenye harakati za kutafuta mtoto wa kike, nifanyeje? Kalenda nicheze nazo vipi? :msela:
 
Wajumbe mi ninataka mtoto wa kike, tayari mtoto wa kiume ninae sasa niko kwenye harakati za kutafuta mtoto wa kike, nifanyeje? Kalenda nicheze nazo vipi???:msela:

'
Hakikisha mzunguko wako wa hedhi ni 28day,hesabu siku ya kwanza ya last menstration yako,the 14th day is likelly fertile baby girl,the 15th fertile baby garl,16th most fertile babygirl,17th fertilen babyboy,18th most fertile baby boy.Nasisitiza hii inaaply kwa wenye circle ya 28days tu.for others calender doesnt apply
 
Nenda hospitali, gender selection inafanywa kiurahisi siku hizi.
 
Kuna chati special ya wachina inaaminika tungefahamiana ningekupa mtoto wa kike ni wa kugusa tu. Mie nimetumia na nina watoto wa kike na wa kiume.
 
Probability theory is the branch of mathematics concerned with analysis of random phenomena.[1] The central objects of probability theory are random variables, stochastic processes, and events: mathematical abstractions of non-deterministic events or measured quantities that may either be single occurrences or evolve over time in an apparently random fashion. Although an individual coin toss or the roll of a die is a random event, if repeated many times the sequence of random events exhibits certain statistical patterns, which can be studied and predicted. Two representative mathematical results describing such patterns are the law of large numbers and the central limit theorem.

As a mathematical foundation for statistics, probability theory is essential to many human activities that involve quantitative analysis of large sets of data. Methods of probability theory also apply to descriptions of complex systems given only partial knowledge of their state, as in statistical mechanics. A great discovery of twentieth century physics was the probabilistic nature of physical phenomena at atomic scales, described in quantum mechanics.
 
Hakikisha mzunguko wako wa hedhi ni 28day,hesabu siku ya kwanza ya last menstration yako,the 14th day is likelly fertile baby girl,the 15th fertile baby garl,16th most fertile babygirl,17th fertilen babyboy,18th most fertile baby boy.Nasisitiza hii inaaply kwa wenye circle ya 28days tu.for others calender doesnt apply
So mwanamke anajuaje kama mzunguko wake ni 28 cause mm mke wangu hedhi yake huwa ni kuanzia tareh 15 so dats meanz yake inachukua muda gani. Pls help me to knw it.
 
PHP:
Kuna chati special ya wachina inaaminika tungefahamiana ningekupa mtoto wa kike ni wa kugusa tu. Mie nimetumia na nina watoto wa kike na wa kiume.
You mean uchovye?

Kipusy, ushauri huo, ha ha haaaa!!!!:twitch:
 
Hakikisha mzunguko wako wa hedhi ni 28day,hesabu siku ya kwanza ya last menstration yako,the 14th day is likelly fertile baby girl,the 15th fertile baby garl,16th most fertile babygirl,17th fertilen babyboy,18th most fertile baby boy.Nasisitiza hii inaaply kwa wenye circle ya 28days tu.for others calender doesnt apply

Nani kwakwambia kipusy mwanamke? Shauri yako ikija vimbishwa manundu ha ha ha
 
So mwanamke anajuaje kama mzunguko wake ni 28.....cause mm mke wangu hedhi yake huwa ni kuanzia tareh 15 so dats meanz yake inachukua muda gani ......pls help me to knw it

Wakufulia tembelea kituo cha afya.
 
Back
Top Bottom