Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Mkuu Wende pole.
1. Naona ni kama wewe na mwenzako hampo pamoja muda mwingi. Na huenda ule muda ambao haupo ni mzuri kwa mimba.
2. Kuchoka, kutapika, kukosa hamu ya kula etc yaweza kuwa dalili ya mimba, lakini pia magonjwa mengine yanaweza kuwa na dalili hizo.
3. Malaria yaweza kuwa na dalili hizo na pia unaweza pata majibu negative ukienda maabara and still malaria ipo.
4. kipimo cha mimba ikiwa changa waweza pima mkojo hospitali au nyumbani ukielekezwa kama hukufanya basi huwezi kusema kama hizo safari mbili alipopata dalili hizo alikuwa mjamzito.
5. MP cycle fluctuates japo normal hutegemea ya mtu na mtu, ya mkeo umesema ni 30days, but can shorten or become prolonged depending na factors mbalimbali kama, change of whether, stress yoyote( kazi, shule, maisha etc)
6. We kuwa na mtoto mwingine haqkumaanishi kuwa huwezi kuwa na tatizo (simaanishi lipo)
Bwana wende nenda na mwenzio mkamuone daktari wa kinamama aliye karibu nawewe.


..............................................
Sure, nashukuru sana kwa ushauri wako,Hayo uliyoyasema ni very logic. Kwa kweli JF inasaidia sana. Nitajitaidi tukiwa wote na my wife tuje tuyatekeleze hayo yote ikiwa ni pamoja na see doctors.Thanx indeed!!!
 
kAMA mchangiaji wa mwanzo alivyosema, si wakati wote mwanamke ana uwezo wa kupata mimba, ni siku chache sana ambazo anaweza kupata mimba. Sasa kama mkikutana siku ambazo si za mimba obvious hawezi kupata. Mwambie mkeo anapotaka kuja afanye uchunguzi kwa muda kama wa miezi miwili kwenye sehemu zake za siri. Kwa kawaida wanawake huwa tuna kawaida ya kutoka ute (mucus) wa aina mbalimbali katika mzunguko wa mwezi. Baada ya hedhi tu, sehemu za uke huwa zinakuwa kavu kabisa ambapo hakuna ute unaotoka kule na huu si wakati wa kupata mimba.

baada ya ukavu ute unaofatia unanata na huu pia si wa uzazi ingawa wakati mwingine inaweza kutokea,

Ute ambao unaambatana na uzazi ni ule unaoteleza (unavutika) ni mweupe kama sehemu ya ute wa yai, kwa hiyo mara aonapo ute wa aina huo ndo muda muafaka wa kupata ujauzito. Lakini sasa inategemea pia na mbegu zako wewe kama ni nzima na zina nguvu. Hii ndo njia sahihi ya kupata mtoto.

Mwambie mkeo ategee hizi siku, nadhani Mungu atasaidia tu. Haf kwa nini usimuache mkeo amalize shule? huoni kwamba itamsababishia shida fulani na pengine mambo yanaweza kwenda vibaya hasa performance kuwa siyo nzuri? Manake kulea mtoto na shule ni kazi. Vyote vinahitaji kwa wakati mmoja na vyote vina umuhimu.

Kila raheli. Pia mshirikishe na Mungu katika hitaji lenu, maana yeye ni yote katika yote.
 
Nadhani ni mapema mno kutaka na kukata tamaa, Experience inajulisha wazi kuwa mimba hazipangwi hapo n kutokea kazaneni ukipita muda tena tutawapitia anuani za wataalamu wa mambo hayo mkawaone lakini kwa sasa mko too abitious
 
Rafiki yangu alikutwa na tatizo hilo pia.

Daktari alimpa ushauri kuwa mke wake alikuwa na uke mdogo baina ya kuingilia na mtoto anapokaa, wakati wa kujamiiana asiwe anapeleka sana ndani hiyo humpa matatizo mke na huaribu mimba pia, na anapohisi kuwa mimba inawezekana imeingia awe anapumzika sana asiwe mtu wa harakati. Huo ushauri tu sio utaalamu, zaidi muone Doc atakueleza zaidi.
 
Pole Bw. Wende. Mimi nina swali kwa wataalam labda jibu lake linaweza kukusaidia na wewe pia. Hivi kuna uhusiano wowote wa mitindo ya kufanya mapenzi (sex position) na upatikanaji wa mimba endapo tendo hilo limefanywa katika kipindi muafaka?
 
kAMA mchangiaji wa mwanzo alivyosema, si wakati wote mwanamke ana uwezo wa kupata mimba, ni siku chache sana ambazo anaweza kupata mimba. Sasa kama mkikutana siku ambazo si za mimba obvious hawezi kupata. Mwambie mkeo anapotaka kuja afanye uchunguzi kwa muda kama wa miezi miwili kwenye sehemu zake za siri. Kwa kawaida wanawake huwa tuna kawaida ya kutoka ute (mucus) wa aina mbalimbali katika mzunguko wa mwezi. Baada ya hedhi tu, sehemu za uke huwa zinakuwa kavu kabisa ambapo hakuna ute unaotoka kule na huu si wakati wa kupata mimba.

baada ya ukavu ute unaofatia unanata na huu pia si wa uzazi ingawa wakati mwingine inaweza kutokea,

Ute ambao unaambatana na uzazi ni ule unaoteleza (unavutika) ni mweupe kama sehemu ya ute wa yai, kwa hiyo mara aonapo ute wa aina huo ndo muda muafaka wa kupata ujauzito. Lakini sasa inategemea pia na mbegu zako wewe kama ni nzima na zina nguvu. Hii ndo njia sahihi ya kupata mtoto.

Mwambie mkeo ategee hizi siku, nadhani Mungu atasaidia tu. Haf kwa nini usimuache mkeo amalize shule? huoni kwamba itamsababishia shida fulani na pengine mambo yanaweza kwenda vibaya hasa performance kuwa siyo nzuri? Manake kulea mtoto na shule ni kazi. Vyote vinahitaji kwa wakati mmoja na vyote vina umuhimu.

Kila raheli. Pia mshirikishe na Mungu katika hitaji lenu, maana yeye ni yote katika yote.

Mkuu mamakunda, BOM ni ngumu kidogo kui-observe esp for laymen kama sisi.
Wende bado bwana mdogo(I guess), hashindwi kupiga kazi daily mwezi mzima, mwaka mzima (of course kuna mapumziko during MP). Inabidi mechi za ugenini asitishen ofkoz.
Kasema mkewe hawakai pamoja muda mwingi, hawa hawana shida yoyote wasiwasi tu wa wakwe zao ndo zinawapa stress. Wakitulia utashangaa mapacha na kubemenda juu.
 
. Hivi kuna uhusiano wowote wa mitindo ya kufanya mapenzi (sex position) na upatikanaji wa mimba endapo tendo hilo limefanywa katika kipindi muafaka?

Ahahaaaaaaaaaaa, Jaluo nuksi!
Wataalam watatujuza, lkn nadhani, logically of course, mere contact of the good quality viable male sperm and female egg is enough.
 
Kuna watu wamekupa ushauri mzuri sana lakini kwa maelezo yako mimi nimekuelewa lakini kuna kitu kimoja. Mkeo ana matatizo ktk kizaz chake. Mpeleke hosp mapema mkuu wangu.
 
kuna watu wamekupa ushauri mzuri sana..........lakini kwa maelezo yako mimi nimekuelewa lakini kuna kitu kimoja .......
mkeo ana matatizo ktk kizaz chake........mpeleke hosp mapema mkuu wangu........

Thnx mkuu,
Ushauri wako pia lazima tutautekeleza!!
 
Mkuu mamakunda, BOM ni ngumu kidogo kui-observe esp for laymen kama sisi.
Wende bado bwana mdogo(I guess), hashindwi kupiga kazi daily mwezi mzima, mwaka mzima (of course kuna mapumziko during MP). Inabidi mechi za ugenini asitishen ofkoz.
Kasema mkewe hawakai pamoja muda mwingi, hawa hawana shida yoyote wasiwasi tu wa wakwe zao ndo zinawapa stress. Wakitulia utashangaa mapacha na kubemenda juu.

Sure, ile first time tulivyoplan my wife ashike mimba,we sexed daily the whole month si unajua assumption na ukizingatia we are not together most of the time? Anyway, pamoja na ushauri mwingine vilevile kuna haja ya kukutana na watalaam wa maswala ya uzazi.

Asanteni sana wote kwa ushauri wenu!
 
Pole Bw. Wende. Mimi nina swali kwa wataalam labda jibu lake linaweza kukusaidia na wewe pia. Hivi kuna uhusiano wowote wa mitindo ya kufanya mapenzi (sex position) na upatikanaji wa mimba endapo tendo hilo limefanywa katika kipindi muafaka?

Asante sana Julio,
Ngoja tusubiri jibu la swali lako toka kwa watalaam!
 
Rafiki yangu alikutwa na tatizo hilo pia

Daktari alimpa ushauri kuwa mke wake alikuwa na uke mdogo baina ya kuingilia na mtoto anapokaa, wakati wa kujamiiana asiwe anapeleka sana ndani hiyo humpa matatizo mke na huaribu mimba pia, na anapohisi kuwa mimba inawezekana imeingia awe anapumzika sana asiwe mtu wa harakati
huo ushauri tu sio utaalamu, zaidi muone Doc atakueleza zaidi


Ahsante Masanja.
Ni kweli ilo nalo lina logic, ila ni kweli kwa ushauri wako tumwonwe tu Doctor.
 
Nadhani ni mapema mno kutaka na kukata tamaa, Experience inajulisha wazi kuwa mimba hazipangwi hapo n kutokea kazaneni ukipita muda tena tutawapitia anuani za wataalamu wa mambo hayo mkawaone lakini kwa sasa mko too abitious

Asante sana Nndondo,
Ngoja tukaze buti zaidi.
 
kAMA mchangiaji wa mwanzo alivyosema, si wakati wote mwanamke ana uwezo wa kupata mimba, ni siku chache sana ambazo anaweza kupata mimba. Sasa kama mkikutana siku ambazo si za mimba obvious hawezi kupata. Mwambie mkeo anapotaka kuja afanye uchunguzi kwa muda kama wa miezi miwili kwenye sehemu zake za siri. Kwa kawaida wanawake huwa tuna kawaida ya kutoka ute (mucus) wa aina mbalimbali katika mzunguko wa mwezi. Baada ya hedhi tu, sehemu za uke huwa zinakuwa kavu kabisa ambapo hakuna ute unaotoka kule na huu si wakati wa kupata mimba.

baada ya ukavu ute unaofatia unanata na huu pia si wa uzazi ingawa wakati mwingine inaweza kutokea,

Ute ambao unaambatana na uzazi ni ule unaoteleza (unavutika) ni mweupe kama sehemu ya ute wa yai, kwa hiyo mara aonapo ute wa aina huo ndo muda muafaka wa kupata ujauzito. Lakini sasa inategemea pia na mbegu zako wewe kama ni nzima na zina nguvu. Hii ndo njia sahihi ya kupata mtoto.

Mwambie mkeo ategee hizi siku, nadhani Mungu atasaidia tu. Haf kwa nini usimuache mkeo amalize shule? huoni kwamba itamsababishia shida fulani na pengine mambo yanaweza kwenda vibaya hasa performance kuwa siyo nzuri? Manake kulea mtoto na shule ni kazi. Vyote vinahitaji kwa wakati mmoja na vyote vina umuhimu.

Kila raheli. Pia mshirikishe na Mungu katika hitaji lenu, maana yeye ni yote katika yote.

Nakushukuru sana Mamakunda

Shortly kuhusu mucus ya kufanya my wife apate mimba mara tukutanapo ni kuwa both of us are still blind!! Nadhani izi ndo costs zake. Yeah kuna mucus ata mimi nilishazishuhudia but namna ya kuitofautisha wala hatukujua. Na apo lazima tuwe wa kweli. Nahisi kwa hilo huenda tumekuwa tukikosa opportunities nyingi tu for being blindly with mucus status variation. Ni kuwa imekuwa kila tukiona just mucus...ndo tunakomaa kwelikweli ata bila kujua different in their properties. Thanx for unblinding us, tutalifanyia kazi!

Kuhusu skuli na kulea,anyway japo ata mimi sikuafiki but ni kuwa my wife has decided and is willing to handle the two matters! Na anasema in the name of Jesus,she will be capable.
Asante sana Mamakunda kwa ushauri wako nakutakia kila la heri.
 
dah.ths z sad.god wil help u and your wife wil get mimba..best option go c specialist wa uzazi.Wish u the best.
 
Wana JF wenzangu naomba mnifahamishe ni siku gani mwanamke anaweza kupata mimba, siku ya ngapi baada ya kutoka kwenye period?
 
Wana jf wenzangu naomba mnifahamishe ni siku gani mwanamke anaweza kupata mimba,siku ya ngapi baada ya kutoka kwenye period?

Yeah,
Kuna swali kama hilo lilishaulizwa na mwana JF mmoja na kuna mtalaam mmoja/mwana JF (nimemsahau) alishajibu kupitia website hiyo hapo chini na mi nilijaribu kuishorten ili inisaidie as follows. It may assist you too......

Conception date calculator
Enter the date of the first day of your last menstrual period(LMP), and we'll print out a table showing you the probable dates of conception, based upon the average length of your menstrual cycle.

Conception, due dates.
Ovulation, and therefore conception, occurs 14 days before your period was due. If you have a 28-day menstrual cycle -- which is assumed by many healthcare providers -- that means that you ovulated on day 14. If your cycle is a few days longer, you probably ovulated after day 14, and your baby may arrive a few days after your estimated due date.
For further details,Plse visit the following website:
 
Back
Top Bottom