Jaribu kudu siku ya 13,14,15 na 16 toka ulipoanza MP, yaani kama umenza MP tarehe 14 March basi du kuanzia 26,27,28 na 29, ingawa huwa ni siku ya 14 but kutokana na mabadiliko mabadiliko just try hapo natumaini utapata matokeo
Unaweza kuwa unafahamu unachoongelea ama haufahamu but that does not matter. Naamini mbegu (sperms) ni tofauti na shahawa (semen) in that sperm huwa ndani ya shahawa. Isije ukadhani kuwa kama unapiga round kibao unamwaga tu utakuwa unamwaga sperms tu pale, unaweza kujikuta unamwaga maji tu yanayotengenezwa ktk seminal vesicles na prostate glands or even cowper's gland. Lazima ujua kama unafanya tendo hilo mara kwa mara epididymal reserve inakuwa depleted and you will need time to replenish it. Tell me, do you have an idea how long does the spermatogenesis cycle take?
Kuna mambo ambayo yako 'unexplainable' na ikija kwenye miili ya binadamu mambo ya exact science huwa haya apply kwa sana.
Thanx Via Mobile!
Wewe hujawahi kusikia mwanamke aliyekuwa anatumia birth control pills kupata mimba wakati hata hajaacha kumeza hivyo vidonge? Hujawahi kusikia wanawake wakipatwa na hedhi ingali ni wajawazito? Hujawahi kusikia wanawake waliokuwa na mimba bila hata ya kujua wana mimba? Hujawahi kusikia wanawake wanaopata hedhi mara mbili kwa mwezi?
Of course I know what I'm talking about and that is why I said sperm instead of semen.
And I know enough about male and female infertility, from retrogade ejaculation, varicocele, azoospermia, endometriosis and the rest of it. So my friend I think I know what I'm talking about!!!!!
Najua hayo yote yapo na mengine nimewahi kuyasikia au kuyashuhudia. katika maisha, nyanja zote tunaanza kwanza na population-based facts, then tunaconsider individual differences. Ndiyo maana hata dawa wakisema inatibu kwa asilimia 94 inamaanisha katika watu 100 kuna 6 hawatapona, na hauwezi kuwajua. Sasa issue kama hiyo hauwezi kuitumia kupanga mipango. Hizo ni exceptions, idiosyncrasies and rare events ambazo ni vema kujua zipo lakini hauwezi kuzi-factor kwenye mipango yako isipokuwa kama tayari unajua kuwa unahusika nazo. In most cases, the biological or scientific explanation of such events is obscure, missing or scanty, so how can you anticipate them?
I appreciate that my friend, and knowing all that you are still convinced sperms will be produced in a matter of hours to enable fertile ejaculation every round 24/7/31?
Never thought of fertilization before ovulation, fertility and all considered.Provided the man's sperms are potent and the woman is fertile, all that is needed is regularity.
So potency and fertility are the be-all and end-all of conception. When you have to resort to using ovulation tests to figure when you are most fertile to conceive then something might be wrong somewhere. And after a year of trying with no success then it may be time for you to pay a visit to a urologist.
Absolutely! Refer to my post above. Some people's sperm is so potent that it doesn't matter when they last ejaculated. Now couple super strong sperm with a fertile woman, what you get is a baby on the way.
Here you also need to qualify the use of 'some'...what proportion of today's population falls under this 'some' category? and the super-strong sperm category as well. Mind you, the asker did not tell us about belonging in this category you are using as your prototype, probably hajui.
That was just a continuation of my and yours' back and forth.
As to what proportion of the population falls under that 'some' category, well, that my friend is difficult to quantify.
Eventually, we will have to come to an agreement that fertilization can not take place without ovulation, unless the 'lucky' sperm travels all the way through the fallopian tube to fertilize the ovum in the ovary (joking). The problem that we mutually agree to is that there is no uniform date for ovulation to occur and even within some people it is not regular cycle after cycle and this makes it difficult to properly predict the days when conception is likely. It is probably here where you based your theory of every other day. But why every other day and not say every day or every other day from day 10 to day 20 (day one being when the menses begin)? I believe this is likely to take care of all the irregularities in menstrual and ovulation cycles in the largest proportional justifiable statistically. if you are proposing for the couple to do it all month long, then for pleasure, assuming the man is rijali as you pointed out, and the woman is equally interested, willing, accommodating and strong, then no problem.
After this summation I don't even see where we disagree.
You agree that there are irregularities that make it difficult to predict conception with clockwork precision.
You know where I got my proposition to copulate every other day. Why not everyday? Heck, they can do it thrice a day if they want to. Who the hell cares, do you?
And nowhere did I say fertilization takes place without ovulation. Or did I?
Sasa we Via Mobile na mwenzio ndio nini hivyo??
Badala yakuweka mambo vizuri hapa nasisi tunaotaka kujifunza tujue,
Mnaleta mambo yenu ya much know hapa.
Khaaaaaaaaa, wengine hata kingereza hatukijui sa ndo mnatusaidia je bana!!!!
Utamchosha mwenzio bure.... Ziko siku za kupata mimba, na anatakiwa akae siku kadhaa kama 3 hivi kusudi mbegu zikomae ndio ampande Mkewe.. Usiseme hivyo, Jaribu kuwa mkweli zaidi...
Ni kweli atapata mimba ila, this is not TECHNICAL zaidi.
Jaribu kudu siku ya 13,14,15 na 16 toka ulipoanza MP, yaani kama umenza MP tarehe 14 March basi du kuanzia 26,27,28 na 29, ingawa huwa ni siku ya 14 but kutokana na mabadiliko mabadiliko just try hapo natumaini utapata matokeo
</p>Kama alivyosema Susy, tulishajadili hili kule JF Doctor...lakini kwa msaada tu ni kuwa:</p>
<p>- Inategemea na mzunguko wako, wanawake wengi wana mzunguko wa siku 28, lakini wachache wana mzunguko mfupi wa siku 25 au 26, na wengine mzunguko mrefu wa siku 30.</p>
<p>- Yai la kike hutolewa katikati ya mzunguko (ovulation), ina maana kwa wanawake wenye mzunguko wa kawaida ni siku ya 14, mzunguko mfupi ni siku ya 13 na mzunguko mrefu siku ya 15.</p>
<p>- Yai likitolewa huwa lina siku 3 hadi 4 kurutubishwa ili litunge mimba. Lakini pia, mbegu za mwanaume zinaweza kuwa hai kwa siku 3.</p>
<p>- Kwa hiyo ukifanya tendo la ndoa ndani ya siku 3 kabla ya ovulation, na ndani ya siku 4 baada ya ovulation utapata mimba.</p>
<p> </p>
<p>Kwa hiyo, siku nzuri za kupata mimba kuanzia siku ya 11 tangu UANZE hedhi, mpaka siku ya 18.
<p></p>
<p> </p>
thanks Riwa, nilikuwa nahitaji sana hili somo sasa nimefunguka akili, inavyoelekea wewe ni dokta Kama sijakosea maana nimekuelewa vizuri kuliko navyomuelewaga dokta wangu
Sa Carina we hujui siku za mwanamke kupata mimba.
Mara nyingi siku ya kumi na nne kuanzia ile siku ya kwanza aliopata hedhi.
Wanasema akikutana na Mbegu siku ya kumi na tatu kuna uwezekano wa kupatikana mtoto wa like.
Na akikutana na Mbegu siku ya kumi na nne, kuna uwezekano wa kupatikana mtoto wa kiume.
Hebu ngoja tuone wataalamu zaidi huku wanasema je!!!!!