Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,607
- 4,263
Jaribu kudu siku ya 13,14,15 na 16 toka ulipoanza MP, yaani kama umenza MP tarehe 14 March basi du kuanzia 26,27,28 na 29, ingawa huwa ni siku ya 14 but kutokana na mabadiliko mabadiliko just try hapo natumaini utapata matokeo
Actuall, akianzia siku ya 11, 12, 13, 14 na 15 zinatosha. Peak always assumed to be day 13. Take care, this is an estimated average, exceptions are bound to occur to some people and you may be one of them.