Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa


Hiyo siku ya tano(05) - ina maanisha baada ya kutoka kumaliza hedhi ndo uhesabu siku ya tano ndo siku ya tano au tunahesabu tangu siku anaanza kupata hedhi?
 
<br />
<br />

Siku za hedhi 1-5

Siku kavu 6,7,8

Siku ya msichana 9,10,11,12

Siku za mvulana ute mwingi 13,14

Siku za mvurana 15,16

Siku kavu 17-27

Siku kavu mama hanasi mimba hukukosea sana mtoto wa kike nikuanzia siku ya 9-12 wa kiume siku ya 13-16
 
Kama wewe ni mwanamke, hakikisha Mr. Anashusha kabla yako mpaka utaposhika mimba. Na kama ni mwanamme hakikisha unashusha kabla ya bibie mpaka ataposhika Mimba.
 
<font size="3"><font color="#0000ff"><span style="font-family: arial">Hiyo siku ya tano(05) - ina maanisha baada ya kutoka kumaliza hedhi ndo uhesabu siku ya tano ndo siku ya tano au tunahesabu tangu siku anaanza kupata hedhi?</span></font></font>
<br />
<br />
Nimesema unaanza kuhesabu toka mwenzi wako anaanza hedhi. Wengi huchukua siku 4 kumaliza hedhi ndio maana nikakwambia kuanzia siku ya 5.
 
<br />
<br />
Usipotoshe mfiakicheko watu ambao hawajui. Siku za kushika mimba ni kuanzia 11 hadi 17 toka hedhi imeanza. Mtoto wa kike ni kuanzia 11 hadi 14 wa kiume ni 15 hadi 17. Siwezi kuandika kila kitu maana wanaosoma hii thread si wote wanaojua X na Y chromosomes na basic na acidic characteristics of vagina. Waache wa2 wapange uzazi bila madhara kama wazungu wanaamua lini tupate mtoto wa aina gani. Si uchawi wala uganga.
 
Nchasi unapotosha.Maelezo yako yana fit kwa wanawake wenye mzunguko wa hedhi wa siku 28 tu.Wenye mzunguko wa zaidi ya hapo au chini ya hapo hawafai kufuata maelezo yako,ambayo ni ya kubahatishabahatisha sana
Nakubaliana na Riwa.Ameandika kitaalam zaidi
 
<br />
<br />
Wewe ndo unataka kuwapotosha ambao hawajui na usiwachanganye wakakosea kufuata ratiba za wenzi wao. Yai linajitokeza i.e kuwa tayari kuwa fertilized kwa normal woman kuanzi siku ya 11 toka anaanza hedhi hadi si ya 17 na baada ya hapo hufa. Nilipopotosha nh wapi? Lete uongo wako hapa ambao umetoka kwa mganga wa miujiza lakini sio kisayansi. Nakuambia wengi wameniona na wamefanikiwa 100%. Hata wewe fuata utafanikiwa huo ni ushauri wa bure. Kwa daktari utatozwa hela nyingi sana.
 
<br />
<br />

nilicho kiandika nisahihi mkuu sema kuna jedwali ra 1 MZUNGUKO MREFU
2 MZUNGUKO MFUPI 3 jedwali ra siku za ngoja uone sijui kama unalijuwa nikipata muda nitayabandika yoto
 
<br />
<br />
Usipotoshe wasiojua na kuwapotezda malengo. Mitanzania mingine bwana, for normal woman siku za kubeba mimba ni kuanzia siku ya 11 hadi 17 toka ameanza hedhi. Na wengi wamefuata huo ushauri wa kisayansi na kupanga ni mtoto gani wampate kwa wakati gani. Kama hutaki ushauri wa bure nenda kwa maspecialist wakakutoze hela kwa kitu ambacho hakihitaji hata kutoa sh .10. We magamba nini?
 


Ulichoandika wewe kina suit well kwa wanawake wenye mzunguko wa siku 28.Kama mwanamke ana mzunguko chini ya hapo au mrefu zaidi ya hapo,ushauri wako haumfai.Taaluma za watu hizi mazee,siyo vitenzi shirikishi hivi
 
Ulichoandika wewe kina suit well kwa wanawake wenye mzunguko wa siku 28.Kama mwanamke ana mzunguko chini ya hapo au mrefu zaidi ya hapo,ushauri wako haumfai.Taaluma za watu hizi mazee,siyo vitenzi shirikishi hivi
<br />
<br />
Ninamashaka na taaluma yako kama kweli uko kwenye hiyo fieeld. Hebu tuambie norma woman anamzunguko wa siku ngapi? Mbona unakimbilia kwenye ubnormality? Ndo nyie mnatozwa hela kwa vitu visivyo vya lazima. Waache watu wapate elimu ya bure kwenye fursa kama hii. Baada ya kuleta suluhisho we unasema eti nababaisha, ulishazoea kutozwa hela hata kwenye haki yako.
 

Duh, hizi timing utafikiri za kumchinja kobe jamani? I presume kuwa timing negative ya haya maelekezo ni wa kike.
 
Ulichoandika wewe kina suit well kwa wanawake wenye mzunguko wa siku 28.Kama mwanamke ana mzunguko chini ya hapo au mrefu zaidi ya hapo,ushauri wako haumfai.Taaluma za watu hizi mazee,siyo vitenzi shirikishi hivi

NgumiJiwe anaongea ukweli hapa....the issue ni kuelewa mzunguko, kisha kufanya timing kufuatana na mzunguko wako specifically. Kuna watu wengi tu wana mizunguko ya siku 26 na wengine siku 30, hawaovulate siku ya 14. Pia, sio wanawake wote wanableed kwa siku 5, wengi wanakauka siku ya 4 na wengine mpaka 7..so the point of reference should always be 'siku aliyoanza menses'.
 
<br />
<br />
Wewe Riwa nilichokiandika mimi ni for normal woman. Kama kuna ubnormal woman lete mapendekezo hapa, na si kusema eti kunaubabaishaji hapa kwenye sayansi. Hapa tunaapply Science.
 
Schedule Conception At The Time That Will Favor A Baby Boy: Since the boy sperm die off quickly, you need to conceive on the day of or immediately after ovulation (when the egg can be fertilized.) If you conceive before this, you would increase your chances of having a girl because the girl sperm can easily ride out this wait, while the boy sperm can not.Granted, this takes a lot of days in your "fertility window" off of the table, but if you want to choose your baby's sex, you need to time your conception with your ovulation with precise accuracy.
To do this, you need to know exactly when you ovulate. There are a couple of ways to do this. Many natural methods though (basal temperate and cervical mucus) leave a lot of room for error and misinterpretation. If these work for you, you're very lucky because they are hit or miss with many.
I much prefer ovulation predictor kits as they will pretty much give you a definitive yes or no answer. Of those, I much prefer saliva ovulation predictors because they are cheap, reusable, and very accurate (so much so that saliva is used for DNA testing.)
Use The Sexual Positions That Will Be More Likely To Produce A Son: Since the boy sperm are weaker and more volatile, it makes sense to use intercourse positions that will make their trip to the egg as fast and was easy as possible. A very effective way to do this is to use positions that use deep penetration so that the sperm is placed as close to the cervix and the egg as is possible.
Lower And Neutralize A Hostile, Acidic Environment And High PH: Other than miscalculating your ovulation, subjecting boy sperm to a highly acidic vaginal canal is probably the biggest mistake that couples trying for a boy make. The sperm that produce a son are very short lived, so you don't need to make this any worse by subjecting them to an environment that will make it that much harder.
One way to start the neutralizing process is to first test your acidity / PH so that you know where you fall and what you have to work with (and also how long this will take.) You can get vaginal PH testing strips online or at a health food store.
Once you know your number, you can then lower your PH in a few ways. The first is through foods and a special diet which will avoid acidic foods and will be heavy on alkaline foods. The foods you need to eat will be very specific, based on how naturally acidic you are, but it will be worth it in the end.
The other way to lower acidity is by douching with solutions based on your testing strips results.
A combination of both of these methods will get the results more quickly, but you can accomplish this with just food if you are opposed to douching. However, you will have to be diligent about your diet and getting alkaline may take a bit longer using only foods.
You can test how you are doing and how close you are getting to the "boy zone" by continuing to test your PH every few days. This way, you'll know precisely when you are ready (and when is the best time) to conceive your son.
:One way to start the neutralizing process is to first test your acidity / PH so that you know where you fall and what you have to work with (and also how long this will take.) You can get vaginal PH testing strips online
 
1. jedwali mzunguko mrefu<br />
<br />
Siku za hedhi 1-5<br />
<br />
Sk kavu 6,7,8,9,10,11,12,13,14,15<br />
<br />
Sk ute 16,17,18,19,20<br />
Siku ya 21-23 kavu kuanzia siku ya 16-23 nisiku ya mtoto/kupata mimba<br />
<br />
Sk ya 24-31 kavu hawezi nasa mimba <br />
<br />
2. Jedwali mzunguko mfupi<br />
<br />
Siku za hedhi 1-5<br />
Siku ya 5 anapatamimba<br />
<br />
Sk ute 6,7,8,9<br />
Sk kavu 10,11,12<br />
Hizo kunza siku 6-12 nisiku za kunasa mimba<br />
<br />
Sk kavu 13-24<br />
Hawezi nasa mimba<br />
<br />
3.Jedwali ra siku za ngoja uone <br />
<br />
Siku za hedhi 1-5<br />
<br />
Siku 6,7 kav (8ute) 9-13kavu hizisiku 6-13 sizakujamiiana zinaita ngoja uone<br />
<br />
Sk ute 14,15,16,17 (18-20)kavu siku za kunasa mimba kunza 14-20<br />
<br />
Sk kavu 21-30 hawezi nasa mimba<br />
<br />
Mkuu tofautisha jedwali hizo 3 kinacho takiwa mama ajuwe yeye yopo kundi gani hayo mimi nimeyajumuisha kama unataka mtoto kike au kium kike nisiku za ute kiume siku kavu
 
Mpita njia nadhani umechanganya tabia za hayo mayai....ya kiume imekuwa kike, na kike imekuwa kiume!

Riwa nafikiri umemsoma vizuri coz hata mimi nilikuwa nang'ata mdomo nilvyokuwa nasoma hii post yake..amefanya vice versa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…