Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Njia nyingine ya asili kabisa ni kwa kupitisha vidole vyako viwili vya mkono wako kwenye uke wa mkeo ndani then unabönyeza pembezoni wa kuta za uke ukihisi kuna uvimbe fulani ujue hizo ni tezi za ujauzito hata wa week moja waweza tumia njia hiyo.
Duh!! Mama yangu weee!!!!!Kweli vijiwe vya kahawa na tangawizi vimepata wa-alimu na ma-poro-fesa.
 
Was about to say the same. Mtoto ni mtoto. Mimi nina wanangu wawili wa kiume and am so thankful to have them sitaki mtoto mwingine. Hata ningekuwa na wa kike nisingebadili mawazo ya idadi ya watoto tulopanga. Kuna watu hawana watoto sisi tunachagua jinsia. What a difference does it make to have a boy or girl kweli na elimu hii tulonayo????
...........hivi kwa nini linasumbua watu wengi? Mtoto ni mtoto jamani, haijalishi jinsia.
 
MpitaNjia MpitaNjia acha kumuingiza mwenzako chaka, kwanza kabisa, mwanamke huwa anatoa yai moja tu kwa mwezi likipevuka kama halijapata kirutubisha toka kwa mwanaume ndio linapasuka tunapata hedhi,mwanaume huwa anatoa mbegu ina mbili na yeye ndio anauwezo wa kumzalisha mwanamke either boy or girl, kwa hiyo.....mbegu zinazokimbia haraka sana na kufa haraka sana zinatoka kwa mwanaume nazo ni za mtoto wa kiume na zinazoenda taratibu na kuishi muda karibu ya masaa 72 ni za mtoto wa kike, kwa hiyo hizo za mtoto wa kiume zikikuta yai lipo tayari zinatunga kwanza hapohapo na za kike zinakuwa zimechelewa, na zikikuta yai bado haliapevuka za mtoto wa kiume zinakufa za kike zinakaa kama yai litapevuka kwa masaa 72 niliyotaja hapo juu unapata girl

kwa msingi huu basi, hesbu mzunguko wa mkeo vizuri kama ni wa siku 28 wewe fanya nae mapenzi siku ya 14 na hakikisha wakati unamwaga mbegu uume uko ndani kabisa, na wanaotaka bby girl wanaweza fanya tendo siku ya tisa,ili zikikaa ndani za kiume zinakufa, yai likija linazikuta zenyewe tu zinasubiria, ukiona ya tisa hujanasa unasogeza tena siku moja mbele,hivohivo mpaka utafanikiwa

Majibu haya ni maruzi, kidogo mpitanjia alipotoka aliposema kuwa m/ke anatoa mbegu za aina 2. Hapana kwa kweli. Pia yai linapopasuka m/ke sio kwamba anapata hedhi. Umesikia kwenye sayansi gani wewe? Yai limepata wapi vyembe hai vya damu? Sahihisho: Mwanamke anapofikia kipindi cha joto (ovulation or in heat ) mji wa uzazi unakuwa umeshajianda kwa ujio wa yai lililorutubishwa na mbegu za kiume. Ukuta wa mji wa uzazi unakuwa mnene. Hii hali ya ukuta wa mji wa uzazi kuwa mnene ni muhimu kwani yai lililorutubishwa humezwa na ukuta huu uliojaa mishipa mingi midogomidogo ya damu. Kama yai halijarutubishwa na mbegu (fertilization) basi huu ukuta hupasuka na kwa sababu kulikuwa na mishipa iliyotuna damu basi humtoka mwanamke. Ktk damu inayomtoka m/ke lile yai lililopasuka au lisilorutubishwa linakuwa sehemu ya hi damu.

Nimejaribu kuelezea kwa kiswahili japo ni ngumu kidogo mambo ya kisayansi kuyaelezea kwa kiswahili.
 
wataalam tunawashukru maana mtakuwa mmeokoa jahazi la taifa na ndoa kwa ujumla mbarikiwe
 
habari zenu wanajf mimi nilikuwa nauliza kwamba siku gani mwanamke anaweza kupata mimba baada ya kumaliza menstruation period
mimi nilipata hedhi tarehe 10 mwezi huu na nilimaliza tarehe 16 nimekutana na mume wangu tarehe 24 ame discharge ndani je naweza kupata mimba naomba mnisaidie kwa hilo
 
habari zenu wanajf mimi nilikuwa nauliza kwamba siku gani mwanamke anaweza kupata mimba baada ya kumaliza menstruation period
mimi nilipata hedhi tarehe 10 mwezi huu na nilimaliza tarehe 16 nimekutana na mume wangu tarehe 24 ame discharge ndani je naweza kupata mimba naomba mnisaidie kwa hilo
Jiandae cliniki, hizo ni tarehe safi kabisa kwa kupata ujauzito lakini hii ni kama mmeo ana uwezo huo na wewe kama una kizazi. kwasababu swala la kupata ujauzito haliishii kwenye timing tuu
 
habari zenu wanajf mimi nilikuwa nauliza kwamba siku gani mwanamke anaweza kupata mimba baada ya kumaliza menstruation period
mimi nilipata hedhi tarehe 10 mwezi huu na nilimaliza tarehe 16 nimekutana na mume wangu tarehe 24 ame discharge ndani je naweza kupata mimba naomba mnisaidie kwa hilo

Naomba unijibu maswali yafuatayo kabla sijakupatia majibu yako.
(1)Kuna utelezi wowote ambao huwa unau-feel (siyo lazima uone ute) wakati wa hedhi na au baada ya hedhi? I do not want the colour of the mucus (if you tell me the colour, it doesn't matter; I am neither interested in the colour nor amount - what I need to know is THE QUALITY of the mucus.
(2)Je, mwezi huu uliu-feel?
(3)Kama uliu-feel ulikuwa unateleza zaidi lini?
(4)Jana tarehe 23 huo utelezi ulikuwepo?

Nasubiri majibu yako ili nipige ramli!
 
Naomba unijibu maswali yafuatayo kabla sijakupatia majibu yako.
(1)Kuna utelezi wowote ambao huwa unau-feel (siyo lazima uone ute) wakati wa hedhi na au baada ya hedhi? I do not want the colour of the mucus (if you tell me the colour, it doesn't matter; I am neither interested in the colour nor amount - what I need to know is THE QUALITY of the mucus.
(2)Je, mwezi huu uliu-feel?
(3)Kama uliu-feel ulikuwa unateleza zaidi lini?
(4)Jana tarehe 23 huo utelezi ulikuwepo?

Nasubiri majibu yako ili nipige ramli!

Usitishike na hapo pekundu! Was just a joke!

Naomba unipatie majibu ya maswali hayo nikusaidie kukutoa hofu!
 
siku za mwanamke kupata mimba ni kuanzia siku ya 12,13 na 14 toka aanze hedhi. kwa usalama zaidi, kuanzia siku ya 12 had ya 16 toka kuanza hedhi ni siku za hatari ya kupata mimba (muhimu kwa wanaotumia kalenda kama njia ya kupanga uzazi). kwa mfano uliotoa, hiyo ni siku ya 15, hivyo uwezekano wa kupata mimba upo,japokuwa ni mdogo. kwa uhakika nenda hospitali ukapime.
 
ndoa sio uwanja wa taifa ndugu, kwamba unafunga magoli uwezavyo! kama ana watoto 5, ama wana mtoto mdogo? au inawezekana wameshakubaliana ratiba ya kuzaa kutokana na hali halisi ya maisha... mjini mipango!
Kumbe hadi kwenye ndoa kunahofu ya mimba???
<br />
<br />
 
  • Thanks
Reactions: bht
wapendwa mie na watoto watatu huyu wa mwisho ana miezi 4 na mie sitaki kuzaa nataka baada ya ramadhn niende kuwekesha vijiti vya mkono huyu bwana ye ananifanyia makusudi tu kilazima anafanya anataka kila mwaka mtoto kabla ya kufanya hilo tendo tunakubaliana kwanza kama ye hatadischarge badae kanigeuzia kibao ndo mana sina raha sasa nilitaka kujua na hiyo mucus nadhani nilikua sina
 
ndoa sio uwanja wa taifa ndugu, kwamba unafunga magoli uwezavyo! kama ana watoto 5, ama wana mtoto mdogo? au inawezekana wameshakubaliana ratiba ya kuzaa kutokana na hali halisi ya maisha... mjini mipango!<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Umesomeka king'asti, kweli umempatia maelezo thabiti kuhusu siku za hatari, kama vp wawe wana2mia ndoms kwa day kama hzo apo
 
wapendwa mie na watoto watatu huyu wa mwisho ana miezi 4 na mie sitaki kuzaa nataka baada ya ramadhn niende kuwekesha vijiti vya mkono huyu bwana ye ananifanyia makusudi tu kilazima anafanya anataka kila mwaka mtoto kabla ya kufanya hilo tendo tunakubaliana kwanza kama ye hatadischarge badae kanigeuzia kibao ndo mana sina raha sasa nilitaka kujua na hiyo mucus nadhani nilikua sina

Sidhani kama uko serious kuhitaji msaada!
Maana naona hata hujajibu maswali yangu moja baada ya jingine, endelea kukusanya mawazo ya watu!
If you do not express yourself as requested how do you expect to be assisted and who will assist you while you are providing incomplete background? Labda mganga wa kienyeji nd'o anaweza kujua akusaidie vipi lkn siyo mtaalamu wa kisayansi. Jibu maswali hayo MOJA BAADA YA JINGINE NIKUSAIDIE.
 
Matarajio ni makubwa sana kwani kama mlipanga ndivyo ilivyokuwa.hizo ni tarehe hatari kwa mimba kuingia hivyo tarajia kuanza kutema mate .hivi karibuni.ukianza hedhi hesabu kuanzia hapo mpaka siku ya 14hiyo inaitwa danger zone.kuanzia siku ya 16 ni wakati mzuri wa kutengeneza kwa kutarajia pacha kuingia
 
dah sasa nitafanyaje hamna dawa ya kumeza nitoe hii mimba kama imeingia
 
dah sasa nitafanyaje hamna dawa ya kumeza nitoe hii mimba kama imeingia

Mtoto akililia wembe mpatie!
Chukua wembe huu hapa:

"Women can prevent pregnancy even after unprotected sex by using a readily available contraceptive method: Certain types of oral contraceptives, when used as directed in high doses after unprotected intercourse, are safe and 75 percent effective in preventing pregnancy

Although not as effective as a regular method, this "emergency contraception" can prevent unwanted pregnancy among women who have been sexually assaulted, experienced a contraceptive failure, forgotten to use a regular contraceptive method or used it incorrectly. Emergency contraception can protect them from resorting to an unsafe abortion -- which kills up to 70,000 women in developing countries every year2, and it may prevent life-threatening complications of pregnancy among women who are too young or too old to bear a child safely.

Emergency contraception should be emphasized as an option in family planning services. It has an important role as a back-up method, particularly for the use of barrier methods, and it should be provided simultaneously with them.

Oral contraceptives used for emergency contraception do not cause abortion because they act before pregnancy begins. These emergency contraceptive pills (ECPs) are thought to alter the uterine lining, or endometrium, thus preventing implantation. In some cases, they may also interfere with ovulation or fertilization or with the luteal phase. Using the pill on an emergency basis is safe, even for many women who should not use oral contraceptives routinely''.
 
Back
Top Bottom