Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Mtoto akililia wembe mpatie!<br />
Chukua wembe huu hapa:<br />
<br />
<font size="3"><font color="#000000"><span style="font-family: Calibri">"Women can prevent pregnancy even after unprotected sex by using a readily available contraceptive method: Certain types of oral contraceptives, when used as directed in high doses after unprotected intercourse, are safe and 75 percent effective in preventing pregnancy</span></font></font><br />
<br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3"><font color="#000000">Although not as effective as a regular method, this "emergency contraception" can prevent unwanted pregnancy among women who have been sexually assaulted, experienced a contraceptive failure, </font></font><b><font color="red">forgotten to use a regular contraceptive method or used it incorrectly</font></b><font size="3"><font color="#000000">. Emergency contraception can protect them from resorting to an unsafe abortion -- which kills up to 70,000 women in developing countries every year2, and it may prevent life-threatening complications of pregnancy among women who are too young or too old to bear a child safely.</font></font></span><br />
<br />
<font size="3"><font color="#000000"><span style="font-family: Calibri">Emergency contraception should be emphasized as an option in family planning services. It has an important role as a back-up method, particularly for the use of barrier methods, and it should be provided simultaneously with them.</span></font></font><br />
<br />
<font size="3"><font color="#000000"><span style="font-family: Calibri">Oral contraceptives used for emergency contraception do not cause abortion because they act before pregnancy begins. These emergency contraceptive pills (ECPs) are thought to alter the uterine lining, or endometrium, thus preventing implantation. In some cases, they may also interfere with ovulation or fertilization or with the luteal phase. Using the pill on an emergency basis is safe, even for many women who should not use oral contraceptives routinely''.</span></font></font>
dah sasa nitafanyaje hamna dawa ya kumeza nitoe hii mimba kama imeingia
acha mambo ya ajabu km humtaki huyo mtoto ukishamzaa tu niletee.
Mtoto akililia wembe mpatie!
Chukua wembe huu hapa........................
asante sana kwa hiyo hiyo kitu nitapata pharmacy haina jina hiyo dawa nikimwambia tu hiyo atanipa hizo vidonge
naikemea roho hiyo ya mauaji ikuache katika jina la Yesu!
Mungu yupo na anakuona kwa mauaji hayo unayopanga kufanya dhidi ya mwanao
dah sasa nitafanyaje hamna dawa ya kumeza nitoe hii mimba kama imeingia
samahani sana wadada mie siui labda hamzijui shida zangu na kwanza mie sijasema na mimba bado haijajulikana na nimepima bado sina mimba sawa naomba muende kwenye hoja zangu muone jinsi navyonyanyasika nendeni kwenye hoja ya mahusiano,mapenzi,urafiki nimeandika asanteni kwa mawazo yenu fungua na msome na kama kubakwa pia nabakwa na mume nalazimishwa asanteni
samahani sana wadada mie siui labda hamzijui shida zangu na kwanza mie sijasema na mimba bado haijajulikana na nimepima bado sina mimba sawa naomba muende kwenye hoja zangu muone jinsi navyonyanyasika nendeni kwenye hoja ya mahusiano,mapenzi,urafiki nimeandika asanteni kwa mawazo yenu fungua na msome na kama kubakwa pia nabakwa na mume nalazimishwa asanteni
<br />samahani sana wadada mie siui labda hamzijui shida zangu na kwanza mie sijasema na mimba bado haijajulikana na nimepima bado sina mimba sawa naomba muende kwenye hoja zangu muone jinsi navyonyanyasika nendeni kwenye hoja ya mahusiano,mapenzi,urafiki nimeandika asanteni kwa mawazo yenu fungua na msome na kama kubakwa pia nabakwa na mume nalazimishwa asanteni
hapo kwa redi si uende polisi afungwe maisha ama ushahidi huna?samahani sana wadada mie siui labda hamzijui shida zangu na kwanza mie sijasema na mimba bado haijajulikana na nimepima bado sina mimba sawa naomba muende kwenye hoja zangu muone jinsi navyonyanyasika nendeni kwenye hoja ya mahusiano,mapenzi,urafiki nimeandika asanteni kwa mawazo yenu fungua na msome na kama kubakwa pia nabakwa na mume nalazimishwa asanteni
wewe dada unapanga kuua! unafikiria mauaji. kutoa mimba ni kuua mtoto. hakuna shida hapa duniani zinazompa mtu haki ya kuua. likimbie kabisa tena kwa kasi sana wazo la kutoa mimba, ukiendelea kuli-entertain wazo hilo ujue shetani kakuweka kati ili ufanye mauaji ya kinyama ya mwanao mwenyewe na tena kwa mikono yako na pesa zako mwenyewe.
kubakwa na mumeo ni hiyari yako, kama si hiyari yako, umeishatafuta msaada wa kisheria? kama hujatafuta basi hujabakwa na kama unabakwa basi bado hujaona kama kubakwa na mumeo ni tataizo na matokeo yake unalalamikia mimba usiyoitarajia na kumbe ulifurahia kubakwa kulikosababisha mimba hiyo.
hebu zinduka mwenzetu, mbona unatuangusha? hiyo thread yako ninaifuatilia sana na matatizo yako kwa kweli yamengsa sana, lakini siwezi kukunga mkono unapotaka kufanya mauaji, ningekuwa nakufaamu ningekutembelea na kukuambia haya ninayoandika hapa uso kwa uso! kwani ni udhamirie kumuua mwanao? kwa nini wewe dada? zidhibiti starehe zako na mumeo na sio ufanye starehe zako kisha ukatili maisha ya wanao!
kama unabakwa nenda polisi na kwenye NGO znazotoa msaada wa kisheria utasaidiwa
dah, jamani watu wengine!
Ufanye mapenzi tarehe 24 (mimba itunge tarehe 24), halafu upime tarehe 24, 25 au 26 kipimo kioneshe negative halafu useme hauna ujauzito?
Jamani fani zetu zimevamiwa - mnatumia wataalamu gani wanaowalia pesa?
Au mnakurupuka tu na kwenda Pharmacy, maduka ya dawa muhimu au vizahanati uchwara na kusema NATAKA NIPIM UJAUZITO!
Hata mimi mwenye ukija kwangu kwa kujifanya mjuaji eti "NATAKA NIPIME UJAZITO KAMA UMEINGIA!". Nitakupima kwa sababu naingiza pesa. Ukija kwa kuhitaji ushauri wa kitaalamu, nitakuambia njoo baada ya wiki mbili tupime tuone.
Kwa sababu hCG huweza kuwa detected kwa vipimo vingi two weeks after ovulation coupled with conception:
Kwa wale msioamini mnachoambiwa na wataalamu hadi muone (mhusika mkuu ukiwa ni wewe UNLUCKY), nikuite Tomaso soma hapa:
Pregnancy Test Information on MedicineNet.com
Msijifanye wajuaji. Tumieni wataalamu kupata majibu sahihi ya matatizo/ mahitaji yenu.
Mtu umesomea uhasibu halafu unataka usimamie ujenzi au ujiamulie kwamba ujenge vipi nyumba yako n.k
Nimemjibu Miss Judith kwa makosa. Ila nilitaka kujibu hii comment yako mheshimiwa. Wagonjwa wa karne hii ya sayansi na technolojia tunajua vitu vingi kama madaktari. Kwa hiyo fani haijaingiliwa wala nini ila tuna wachallenge kuwa mjipange vizuri na mkubali kuwa questioned na wagonjwa wenu kwani information nyingi za magonjwa na tiba ziko online.
<br /><b>hapo kwa redi si uende polisi afungwe maisha ama ushahidi huna?</b>