Hili sasa balaa unamtafutia.Mpenzi wako atakuwa mgumba jaribu kubadili mme uone kama haujadaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili sasa balaa unamtafutia.Mpenzi wako atakuwa mgumba jaribu kubadili mme uone kama haujadaka.
Mwambie shemeji akukunje fresh Zile siku za hatari(12-16day)akukunje kama sambusa na wewe mpepete kama mchele.Habari zenu waungwana? Mwaka jana nilipata mimba mwezi wa tisa, bahati mbaya ilipofikisha miezi miwili ikaharibika ila nilijipa moyo itaingia nyingine. Mpaka kufika mwezi wa kwanza kitu kikakataa, nikaenda hospital dokta akanifanyia utra-sound ila kizazi hakikuwa na matatizo akanipatia dawa aina ya clomifene kwa ajili ya kurutubisha mayai,ila mpaka sasa hamna kitu. Naimani hapa nitapata ushauri stahiki, je waungwana niendelee kutumia vidonge or niviache? je naweza kuwa nina tatizo? je kuna kipimo kingine nawez kupima? natanguliza shukrani.
Asante kennedy,iliharibika nov 15, dec nkaingia trh 17, jan trh 13, febr trh 11 na march ilikuwa trh 9. nahisi nimejitahid kutoa maelezo ya kutosha.
Dada, watoto ni zawadi toka kwa Mungu. daktari hasaidii lolote. nakushauri nenda kwenye maombi kitu cha kwanza. pili tuliza mawazo yasichanganyikiwe kwasababu yatakufanya unaproduce sumu kwenye uke itakayokuwa inaua mbegu zisifike. tatu, ukipata mimba tulia, achana na kazi ngumu kwasababu pengine kizazi chako kimelegea hakiwezi kuhandle pracenta pengine ulishawahi kusafishwa na vyuma au ulitoa mimba magonjwa ya zinaa etc. nakushauri kwasasa usikubali waganga kukusafisha kizazi, huwa wanakwangua afu pracenta inashindwa kuja kujishikiza vizuri. pia, inawezekana ni majini. wanawake wengi siku hizi wanaolewa na majini bila wao kujijua,hi ni kwasababu ya kuvaa maurembo ambayo watu hawajui hata yametoka wapi, mengine yametengenezwa kuzimu yana network za kijinijini, hivyo wakipita njiani majini yanawaingia, yanakuwa yanawafanya mapenzi bila wao kujijua, yanakuwa na wivu kiasi kwamba ukipata mimba yanaua mtoto ili ubaki bila mtoto yaendelee kukudoooo, wengine hayataki uolewe, yanakuwekea mkosi usipate wanaume kwasababu yana wivu wa kimapenzi hivyo msichana mzuriiiii anakuwa na mkosi kuolewa etc. ndo maana nilisema cha kwanza nenda kafanyiwe maombi.Habari zenu waungwana? Mwaka jana nilipata mimba mwezi wa tisa, bahati mbaya ilipofikisha miezi miwili ikaharibika ila nilijipa moyo itaingia nyingine. Mpaka kufika mwezi wa kwanza kitu kikakataa, nikaenda hospital dokta akanifanyia utra-sound ila kizazi hakikuwa na matatizo akanipatia dawa aina ya clomifene kwa ajili ya kurutubisha mayai,ila mpaka sasa hamna kitu. Naimani hapa nitapata ushauri stahiki, je waungwana niendelee kutumia vidonge or niviache? je naweza kuwa nina tatizo? je kuna kipimo kingine nawez kupima? natanguliza shukrani.
Dada, watoto ni zawadi toka kwa Mungu. daktari hasaidii lolote. nakushauri nenda kwenye maombi kitu cha kwanza. pili tuliza mawazo yasichanganyikiwe kwasababu yatakufanya unaproduce sumu kwenye uke itakayokuwa inaua mbegu zisifike. tatu, ukipata mimba tulia, achana na kazi ngumu kwasababu pengine kizazi chako kimelegea hakiwezi kuhandle pracenta pengine ulishawahi kusafishwa na vyuma au ulitoa mimba magonjwa ya zinaa etc. nakushauri kwasasa usikubali waganga kukusafisha kizazi, huwa wanakwangua afu pracenta inashindwa kuja kujishikiza vizuri. pia, inawezekana ni majini. wanawake wengi siku hizi wanaolewa na majini bila wao kujijua,hi ni kwasababu ya kuvaa maurembo ambayo watu hawajui hata yametoka wapi, mengine yametengenezwa kuzimu yana network za kijinijini, hivyo wakipita njiani majini yanawaingia, yanakuwa yanawafanya mapenzi bila wao kujijua, yanakuwa na wivu kiasi kwamba ukipata mimba yanaua mtoto ili ubaki bila mtoto yaendelee kukudoooo, wengine hayataki uolewe, yanakuwekea mkosi usipate wanaume kwasababu yana wivu wa kimapenzi hivyo msichana mzuriiiii anakuwa na mkosi kuolewa etc. ndo maana nilisema cha kwanza nenda kafanyiwe maombi.
Huu ushauri wako wa majini nina hofu nao..
Fungua link hii unaweza kufanya hesabu na kupata estimated dates
Pregnancy and Baby: Conception date calculator
Unaweza kupata zingine pia