Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Nimekusoma mkubwa japo thread niliyokua naitafuta cyo hiyo niliwah kuiona thread ikionyesha kwakutumia mifano kulinga namzunguko watarehe. Anayeijua naomba aniwekee hiyo thread.
 
Naomben mnisaidie kutafuta ile topiki ilowahi kuelekeza jins yakupata mtoto wakiume au wakike kuna jamaa kaniganda kweli. Hata use name ilotumika kwenye topick ile.
mkuu hiyo imekufaa?
 
Hiyo ya kuhesabu siku ya 14 imeshatushinda mara kadhaa na kuishia kuanza malezi. Kwa sasa hii elimu itanisaidia kuelimisha wengine kwakuwa mimi imeshakuwa jioni kwangu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mkuu Verily Verily,

Naomba nisisitize kwamba, utaratibu wa counting 15 days back ni sahihi na umesaidia wanawake wengi. Halafu suala la mwanamke kuwa na multiple cycles hali-aply kwa wanawake wote! Wengi wana cycle moja au mbili ambazo zaweza ku-fluctuate kidogo kutokana na internal or external forces lakini badae hu-resume their normal lengths!

Kwa mfano: Kama itatokea akili au mwili wa mwanamke utapata big changes within a short time, mathalani kuongezeka au kupungua uzito kwa kiasi kikubwa kwa muda mfupi, basi cycle pia yaweza badilika lakini badiliko hili huwa siyo permanent! Hizi ni fluctuations tu za muda mfupi lakini baadaye cycle hu-resume its normal length!

TWINS:

Twins wako wa aina mbili nazo ni:

1. Fraternal twins:

Hawa hutokana na multiple ovulation. Multiple ovulation ni uwezo wa ovaries za mwanamke kutoa mayai mengi ndani ya cycle moja, na maranyingi huwa ni mayai mawili (double ovulation) lakini yote ni lazima yatoke ndani ya siku moja (yaani ndani ya masaa 24)!

Kama itatokea mayai haya mawili ya double ovulation yakarutubishwa na mbegu mbili za kiume (Y & Y), basi mapacha watakaozaliwa watakuwa na jinsia ya kiume lakini hawatafanana kwa sura!

Kama mbegu zote mbili zilizorutubisha ni za kike (X & X) basi mapacha watakuwa wakike lakini hawafanani kwa sura!

Kama X na Y kila moja itarutubisha yai moja basi mapacha watakuwa wa kike na wa kiume wasiofanana kwa sura!

NOTE: Multiple ovulation is an inherent character, hivo si kila mwanamke anaweza kupata multiple ovulation au mapacha!


2. Identical Twins:

Hawa ni mapacha wanaopatika tu pale inapotokea yai moja likarutubishwa na mbegu moja (X or Y), halafu yai hili likalazimika kugawika katika vipande viwili vilivyo sawa kutokana na internal forces! Mapacha hawa lazima wawe na jinsia moja na lazima wawe na sura zinazofanana! Na hawa ndio niliowahi kuwaongelea katika posts zangu zilizopita! They have nothing to do with natural inheritance!



Swali: Je kuna uwezekano wa kupata mapacha wa aina zote mbili (Fraternal & identical twins) kwa wakati mmoja?

Jibu: Ndiyo!

How??!!

Kwa mfano: Kama itatokea mwanamke akawa na double ovulation (2 eggs) harafu mayai haya 2 yakarutubishwa na mbegu mathalani 2 za kike ( X & X), halafu hapohapo ikatokea yai moja kati ya hayo likagawika katika vipande viwili kutokana na idadi ya chromosomes zilizozidi kiwango kinachotakiwa, basi mwanamke huyu atajifungua mapacha watatu wa kike ambapo wawili watafanana kwa sura na mmoja atakuwa na sura tofauti na wenzake japo wote watatu watakuwa na jinsia moja ya kike! However, the probability of this happening is very small!

mkuu nimekusoma vema sana kuhesabu siku 15 kurudi nyuma kwamba ndo siku ya mimba kuingia,ina maana hizi siku nyingine zote mimba haingii?je ni siku zipi ambazo mimba haitungi hayo tu
 
it depends
nkifukuzwa kazi kama last time naweza pitisha hata miezi mitatu bila kuona hizo siku
 
tar16 march,mzunguko cku 30,au 31

Month 1

Sunday 16th March 2014 - First day of your cycle

Thursday 27th March 2014 - Best chance of conceiving a girl

Friday 28th March 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Saturday 29th March 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Sunday 30th March 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy
Monday 31st March 2014 - Time to ovulate

Thursday 10th April 2014 - A home pregnancy test may work now.

Monday 14th April 2014 - End of cycle

Thursday 17th April 2014 - No period? Maybe you're pregnant!

Month 2

Tuesday 15th April 2014 - First day of your cycle

Saturday 26th April 2014 - Best chance of conceiving a girl

Sunday 27th April 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Monday 28th April 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Tuesday 29th April 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Wednesday 30th April 2014 - Time to ovulate

Saturday 10th May 2014 - A home pregnancy test may work now.


Wednesday 14th May 2014 - End of cycle

Saturday 17th May 2014 - No period? Maybe you're pregnant!


31 days



Month 1

Sunday 16th March 2014 - First day of your cycle

Friday 28th March 2014 - Best chance of conceiving a girl

Saturday 29th March 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Sunday 30th March 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Monday 31st March 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Tuesday 1st April 2014 - Time to ovulate

Friday 11th April 2014 - A home pregnancy test may work now.
Tuesday 15th April 2014 - End of cycle

Friday 18th April 2014 - No period? Maybe you're pregnant!

Month 2

Wednesday 16th April 2014 - First day of your cycle

Monday 28th April 2014 - Best chance of conceiving a girl

Tuesday 29th April 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Wednesday 30th April 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Thursday 1st May 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Friday 2nd May 2014 - Time to ovulate

Monday 12th May 2014 - A home pregnancy test may work now.
Friday 16th May 2014 - End of cycle

Monday 19th May 2014 - No period? Maybe you're pregnant
 
Mkuu ungetupia hiyo kanuni ili wailewe itawasaidia hata siku ukiwa haupo wapige wenyewe mahesabu....bora uwafundishe kuvua samaki badala ya kuwaletea wewe kila siku.
 
zebedayo mchuzi# tarehe ya mwisho ili kuwa 14 mwezi 11 mwaka 2013 tareh nilio kutanae ni 27/11/2013 na mzunguko wake ni 28-30
 
zebedayo mchuzi# tarehe ya mwisho ili kuwa 14 mwezi 11 mwaka 2013 tareh nilio kutanae ni 27/11/2013 na mzunguko wake ni 28-30

Ntatoa ya miezi mi 4.

Month 1

Thursday 14th November 2013 - First day of your cycle

Saturday 23rd November 2013 - Best chance of conceiving a girl

Sunday 24th November 2013 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Monday 25th November 2013 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Tuesday 26th November 2013 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Wednesday 27th November 2013 - Time to ovulate

Saturday 7th December 2013 - A home pregnancy test may work now.Wednesday 11th December 2013 - End of cycle

Saturday 14th December 2013 - No period? Maybe you're pregnant!


Month 2

Thursday 12th December 2013 - First day of your cycle

Saturday 21st December 2013 - Best chance of conceiving a girl

Sunday 22nd December 2013 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Monday 23rd December 2013 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Tuesday 24th December 2013 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Wednesday 25th December 2013 - Time to ovulate
Wednesday 8th January 2014 - End of cycle

Saturday 11th January 2014 - No period? Maybe you're pregnant!


Month 3

Thursday 9th January 2014 - First day of your cycle

Saturday 18th January 2014 - Best chance of conceiving a girl

Sunday 19th January 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Monday 20th January 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Tuesday 21st January 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Wednesday 22nd January 2014 - Time to ovulate

Saturday 1st February 2014 - A home pregnancy test may work now.
Wednesday 5th February 2014 - End of cycle

Saturday 8th February 2014 - No period? Maybe you're pregnant!



Month 4

Thursday 6th February 2014 - First day of your cycle

Saturday 15th February 2014 - Best chance of conceiving a girl

Sunday 16th February 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Monday 17th February 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Tuesday 18th February 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Wednesday 19th February 2014 - Time to ovulate
Wednesday 5th March 2014 - End of cycle

Saturday 8th March 2014 - No period? Maybe you're pregnant!


angalia tarehe uliyopiga mzigo imo .....
 
Back
Top Bottom