Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

mbarikiwe sana jmn kuweka hii topic stick.... Mhariri ni topic ipi iyo ulompatia TOTS SHALO?? ni hii ya kungurumweupe au ingine niwekee
 
Last edited by a moderator:

ahsante ndugu Kungurumweupe me ndo nimejifuza leo...tena umetoa maelezo mazuriiiii...big up
 
nimeelewa sana hili somo aisee...Ila sasa mwenzi wangu alikuwa na cycle ya kawaida ya siku 28 Ila ghafla mwezi huu kableed baada ya siku 15,ina maana gani hii wadau?
 

jamani mi mpenz wangu mbna hayupo ktk kundi lolote hapo kwan ye huona period after 30 dayz kuanzia 13/14 na kuziona tena mwezi ujao tarehe sawa na hzi.......msaada tafadhari
 
hujani convice kuhusu cunting kuanzia mbele kurudi nyuma hujaniconvice kabisa,bado traditional inafanya kazi tena sana tuuu,hata kama awe na MCY ya 30 wewe take 30-14,kwa hiyo mzunguko wake ni 16,ina maana siku ya 16 ndo fertile.+or-3.
 
Somo zuri ila sijaelewa. Nahitaji labda tuition. Ngoja nisome tena kwa umakini zaidi.
 
naomba kujuzwa iwapo mpenzi wako kamaliza bleed leo ,kesho yake ukakutana nae kimwili kunauwezekano wa kupata mimba au la
 
Kuhusu hili lina ukwel wowote mfano nimemaliza cku zangu za period (siku 5) nikafanya napenzi siku ya 6 hadi ya 10 kuna uwezekano wa kupata mimba? Naomba kusaidiwa
 
kama mwanamke amefanya mapenzi siku 3 au 4 au 2 au hata 1 kabla ya bleed yake anaweza kupata mimba?kwa anaejua anijuze maana hcho k2 knaubixhi xana hapa kijiwen!
 
naomba kuuliza mbegu zinauwezo wa kukaa mwilini mwa mwanamke kwa muda wa siku ngap? kabla ya kutunga mimba??? namaanisha mwanamke akifanya mapenzi siku ya 12 mbegu zinauwezo wa kukaa mpaka siku ya 14 zije zirutubishe yai mimba itungwe??
 
naomba kuuliza mbegu zinauwezo wa kukaa mwilini mwa mwanamke kwa muda wa siku ngap? kabla ya kutunga mimba??? namaanisha mwanamke akifanya mapenzi siku ya 12 mbegu zinauwezo wa kukaa mpaka siku ya 14 zije zirutubishe yai mimba itungwe??

mbegu zinauwezo wa kukaa ndani ya mwili wa mwanamke ndani ya masaa 48 hadi 72 xawa na cku 2 hadi 3 hvyo kuna hatari ya kupata mimba ukfanya mapenz cku ya 12 kam maelezo yako hapo yanaeleza kuwa cku ya 14 mwanamke yupo tayar kurutubixha.hvyo ucjaribu kaa nae mbali,ngoja tuone na wataalam zaidi wengine watakavyoelezea hali hii,huo n kwa ufaham wng nlioutoa kutoka kwa daktari mmoja ivi.thanks
 
Aise nashukru saana ila kuna ugumu wake make mpaka wanawake huwa hawajui siku zao za kubebe ujauzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…