Dr m wilbard
Member
- Jan 22, 2015
- 63
- 13
bila shak utakuwa jide bint machoz
Kuna mtu alinishauri jambo zuri but ile msg siioni tena sijui aliituma kwa njia gani kama vipi naomba anitumie tena plzzz
...kwahiyo hapo ndo umetoa ushauri aisee...Watu wanapapala sa jide kaingiaje hapa...
Usijali tatizo lako ni dogo Mungu atakuonesha njia lakini nakushauri pata water therapy Lita 3 siku continuously utapata tuu
hata picha huon???, anahangaika kuz kashatoa za kutosha xo mayai yamekwsha km jide,na hat akipat itatoka tu
Inategemea huyo mtoto unamtafutia wapi, kwahiyo tangu apotee ushatoa taarifa polisi au ndo unamtafuta kimya kimya, Je huyo mtoto unaemtafuta alipotea katika mazingira gani? Alafu huyo mtoto kama ana sura mbaya kama wewe utampata tu maana utakuta watu wamekaa wanamshangaa. ina maana na wewe una sura mbaya kama mzee wa gombe?Nawasalimu humu JF? Yapata miezi 5 najitahidi kumtafuta mtoto lakini hakuna kitu. Naombeni ushauri wenu jamani.
Miezi mitano bado ni muda mfupi wa kuwa na shaka, angalau ingepita miaka 2 ndio uanze kuwa na shaka. Hakikisha unakula vizuri wewe pamoja na mumeo na vilevile msiwe na msongo wa mawazo. kwa sasa relax kwenye ndoa na mumeo. AU Kuna kitu umetarget?
Inategemea huyo mtoto unamtafutia wapi, kwahiyo tangu apotee ushatoa taarifa polisi au ndo unamtafuta kimya kimya, Je huyo mtoto unaemtafuta alipotea katika mazingira gani? Alafu huyo mtoto kama ana sura mbaya kama wewe utampata tu maana utakuta watu wamekaa wanamshangaa. ina maana na wewe una sura mbaya kama mzee wa gombe?
tumia zaidi kifo cha mende achana na dog style au mbuzi kagoma
ajiachie nyuzi 180 ipite moja kwa moja