Dr m wilbard
Member
- Jan 22, 2015
- 63
- 13
Mwombe mungu na amin utapata mtoto ,Lakin unapokuwa unafanya inatakiwa ufurahie kitendo si kwa7b tu unatafuta mototo, pia mume wako anatakiwa hiyo siku ya hatari(mimba) asiwe amechoka ajiandae vizuri siku zote za hatari(mimba ) umeelewa Dada lufuo