Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Daaaa!mwz huu sijaona kabisa na nimejaribu kuchukuwa vipimo vya pregnat inasoma negative
 
Daaaa!mwz huu sijaona kabisa na nimejaribu kuchukuwa vipimo vya pregnat inasoma negative

je unakumbuka mwez wa pili uliingia tarehe ngapi?? maana ni lazima tupate tarehe za mwanzo ulizoanza kubleed katika mizunguko yako miwili inayofuatana.
 
Jee Kwa wale ambao tarehe zao Za hedhi zinabadilika yaan hazina tarehe maalumu lakin akienda ni siku mbili atatumia calendar ilele ya siku 22?

hata kama zinabadilika kiasi gani hesabu kuanzia tarehe ya kwanza uliyoanza kublid mwez watatu hadi tarehe ya kwanza uliyoanza kublid mwezi wa nne utapata kujua mzunguko wako na ndo itakusaidia kujua kalenda ipi unatakiwa utumie
 
Naomba unisaidie kungurumweupe. Mfano nimeingua tarehe 20 asubuhi, nikamaliza tarehe 24 usiku. Hapo nahesabu vipi ili niweze kubeba mimba?
 
Naomba unisaidie kungurumweupe. Mfano nimeingua tarehe 20 asubuhi, nikamaliza tarehe 24 usiku. Hapo nahesabu vipi ili niweze kubeba mimba?

piga mechi ndani ya tarehe 2 mpaka 10 ya mwezi unaofuata.
 
nina swali moja tu. kuna mwanamke ananiambia anapata siku zake wakati ni mjamzito. Je inawezekana kupata hedhi wakati una mimba?
 
Kuna watu wanasifa humu halafu watu wazima na midevu kama stil waya mwenzetu anaomba ushaur nyie mnaleta masihara mfyuuuuu zenu
 
Mkuu Mr. Kiroboto,

Naomba nitoe mifano hai kwa faida ya dada zetu na wengine:

1. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 22 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd.

Kisha ahesabu kuanzia ile 22nd day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 8th day ya kalenda yake. Hivo 8th day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 22. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


2. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 28 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd, 24th, 25th, 26th, 27th, 28th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 14th day. Inamaana kwamba 14th day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 28. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


3. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 35 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st
, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd, 24th, 25th, 26th, 27th, 28th, 29th, 30th, 31st, 32nd, 33rd, 34th, 35th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 21st day. Inamaana kwamba 21st day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 35. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


4. Kama mwanamke ana abnormal menstration cycle ya siku 15 , BASI KUNAUWEZEKANO WA KUTOPATA MIMBA KABISA KAMA INAVYOONEKANA HAPA CHINI:

Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama kawaida:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 15th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 1st day. Inamaana kwamba, the 1st day of her bleedind ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 15. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed, na ndiyo hiyo hiyo siku ambayo mwanamke wa kundi hili anaweza kupata mimba!

Hii inamaana kwamba, siku ambayo linaharibika lile yai la upande mmoja ndiyo siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa pili linapevuka tayari kwa kurutubishwa. Mwanamke wa aina hii anaweza kupata mimba tu kama atakutana na mwanaume siku ile anayoanza kubleed, kwani siku ambayo yai moja linaanza kuharibika ndio siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa pili linakuwa tayari kurutubishwa!

Na wanawake wa kundi hili la nne ukiwauliza vizuri watakiri kwamba hawajawahi kuona au ku-feel ule ute mweupe ambao wenzao huwa wanaupata siku ile yai linapokuwa tayari kwa kurutubishwa, kwani ute wa wanawake wa kundi hili la nne huwa unachanganyikana na damu kwa vile unatoka siku ile ile wanapoanza ku-bleed. Pia wanawake wa kundi hili huwa wanatokwa na kiasi kidogo sana cha damu; na bleed hukatika ndani ya siku moja au mbili tu!

Jambo la kushangaza ni kwamba, wanawake wengi hawana knowledge ya kutosha juu ya hili suala la siku ya mimba; hasa wale ambao wana menstration cycle inayobadilikabadilika! Wao husitukia tu wameanza ku-bleed. Ndo maana hawawezi hata ku-plan kutopata mimba! Hawana ujanja kabisa ndio sababu wengi wanatumia sindano na njia zingine nyingi za artificial ambazo mwisho wa siku huwaletea matatizo ya uzazi, kwani nyingi hu-block njia ya uzazi! Nimeona wengi wenye matatizo ya uzazi unaosababishwa na hizi artificial family planning. Wengine hulazimika kwenda hospital kuzibuliwa ili wapate mimba jambo ambalo ni hatari kwa afya zao!

Mkuu kuzibuliwa mirija kuna madhara? Njia gani sahihi ya kuzibua mirija au kuna dawa mkuu nisaidie
Nahitaji mtot kwa sas tatzo ni mirija kuziba
 
helo Jf Dr, tuseme mtu ana mzunguko wa ck 28, then uka Do ck ya 21-24, kuna possibility ya kupata ujauzito?
 
Hilo jina lako linaonesha wewe ni toto tundu, ina maana CONDOM huwa hautumii? Kuna maradhi pia mbali na mimba as mimba utatoa na ukimwi je?
 
Kungurumweupe nashukuru kwa somo maana nlikuwa natafta sana cku ya ovulation.mwezi huu ntajaribu kuangalia km itakuwa kweli kadri nlivyohesabu.jambo lingine ambalo nataka nijue ni cku ngapi nisilale na mke wangu kusudi asipate mimba nliskia huwa kuna siku 8 ambazo ni hatarisana.
 
Back
Top Bottom