Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Ni wakat gan muafaka kujivinjari na mkeo na mambo yakawa swadakta?

hivi mkuu yaani kweli ulipewa mke pasi kujua ni wakati gani wa kudo nae ama unatutania? kama ndio na mnawatoto basi ninashaka na wanao sio wako umebambikiziwa aisee. huwez kuwa hujui wakati wa kudo halafu eti una mke na watoto.
 
kwasatail ya swali alilouliza mkuu hapa napata hisia kwamba elimu ya jando inapaswa irudi manake tunakoelekea mtu atakwenda kuoga aingie kitandani watoto wameshalala, na mke yuko tayari lakini bado aje atuulize anaingiaje kwa mkewe.

si inajulikana anytime ?
halafu sometimes kabla ya kuoga ina ladha yake pia..
 
Wakati mkiwa wote mmeshiba-usije ukapanda mtoto wa watu akiwa na njaa!!!
 
hivi mkuu yaani kweli ulipewa mke pasi kujua ni wakati gani wa kudo nae ama unatutania? kama ndio na mnawatoto basi ninashaka na wanao sio wako umebambikiziwa aisee. huwez kuwa hujui wakati wa kudo halafu eti una mke na watoto.

Mkuu labda hukuelewa swali,ni kwamba inafurahisha pia kujua kwa wengine inakuwaje?
 
kwasatail ya swali alilouliza mkuu hapa napata hisia kwamba elimu ya jando inapaswa irudi manake tunakoelekea mtu atakwenda kuoga aingie kitandani watoto wameshalala, na mke yuko tayari lakini bado aje atuulize anaingiaje kwa mkewe.

Jibu lako ni watoto wakiwa wamelala na mke akiwa tayar...una uhakika wamelala?NYIE NDIO MNAHARIBU WATOTO!
 
Ni wakat gan muafaka kujivinjari na mkeo/mmeo na mambo yakawa swadakta?

matunda huliwa wakati wowote sio lazima uumwe au Dr akuandikie ... kuna watu hawali matunda hadi wakose Vitamin C .. hakikisha umeyaosha vizuri kwani kuna magonjwa kama kipindupindu ni hatari kwa afya ya mlaji
 
hivi mkuu yaani kweli ulipewa mke pasi kujua ni wakati gani wa kudo nae ama unatutania? kama ndio na mnawatoto basi ninashaka na wanao sio wako umebambikiziwa aisee. huwez kuwa hujui wakati wa kudo halafu eti una mke na watoto.

Tumeona wanawake wengi wana miaka hadi mitano ya ndoa na watoto lakin wanaomba ushauri HAWAJAWAH KUSIKIA RAHA WAKAT WA TENDO....!Angalia usije kuwa una fosi mapenzi!
 
wake up sex! tamu hiyooo! nyamu nyamu nyamu! wiiiiiiiiii
 
Any time mkijisikia kufanya hivyo as long as mazingira yanaruhusu!
 
Back
Top Bottom