Tarehe ya kuripoti waajiriwa wapya kada ya Ualimu na afya ni lini?

Tarehe ya kuripoti waajiriwa wapya kada ya Ualimu na afya ni lini?

Amina68

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
298
Reaction score
547
Amina anuliza Tarehe ya kureport lini kwa waajiriwa wapya,UALIMU na afya?

Pia anaulizia ,Afisa lishe na ustawi wa JAMII wanalipwa tshs ngapi? Je Kuna marupurupu?
 
Mwambie Amina kama ndie yeye kwenye DP basi aje inbox nimpe details zote ila kama Amina ni dume linalojifanya jike lishindwe na lilegee.
 
Mbona ana mchecheto na kazi? Ngoja akajitie kimuhemuhe cha kufanya kazi kwa bidii atapunguzwa makali kibabe na wakongwe wa kazi atakaowakuta. Anauliza mshahara kwani wakati anaomba kazi hiyo hakujua ataanza kulipwa kiasi gani? Aache ulimbukeni atachekwa na kudharauliwa na wakongwe wa kazi
 
Back
Top Bottom