Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

Umenigusa,sasa npo katika wakati Wa kutafuta nafas za kujtegemea,nilkuwa tegemez
 
Huyu mleta mada kashindwa kumalizia uzi wake karibia muda wa miezi miwili, au na yeye tarehe ya kuzaliwa ni ile ya kushindwa kumaliza majukumu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante umeniongezea uelewa katika haya maan nilikua nasoma vitabu bila kuelewa zaidi. Mi naomba unitumie vitabu tuu vyovyote vile vyenye kuuelezea ulimwengu na maisha ya kila kilivhomo.
 
So far its true

Good post
 
Mbona hujatoa uchambuz wa namba 22
 
Mkuu Mimi ni tarehe 16-03-1994 nikijumlisha inakuja 15
 
Tarehe yangu ya kuzaliwa 4/5/1998 calculate apo unipe jibu namba yangu ngapi
 
Naomba muendelezo wa 8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…