Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

Mzunguko wako wa maisha ni namba 6, endelea kufatilia nitatoa maelezo ya kina lakini kwa ufupi

Unatakiwa ujifunze kuyakubali majukumu kwa kuwa Mungu amekujalia uwezo mkubwa wa kusaidia na kufariji wengine pale inapohitajika. Tegemea watu wengi kuja kwako ili kupata msaada na faraja zaidi ya vile unavyofikiri ivyo ni muhimu kuyakubali majukumu na kujifunza namna kusaidia familia, ndugu na marafiki. Ni muhimu kujifunza kujitoa katika urafiki na matendo ya upendo kwa kuwa kile unachopanda ndicho utakachovuna, ni muhimu kutofautisha kati ya kusaidia na kuingilia mambo ya wengine.
Hii namba 6 Kwa urefu na mapana itatoka lini?
 
Aaargh kwa hiyo sisi wa namba tano tusijuhusishe na mapenzi wala chakula?? Mkuu hauko serious
Haya maarifa mazito, nenda taratibu utaelewa, kinachotakiwa ni kiasi si kuzidi
 
Haya maarifa mazito, nenda taratibu utaelewa, kinachotakiwa ni kiasi si kuzidi
Boss mimi kwenye misosi ndio huwa natumia pesa nyingi huko....! Huwa napenda sana kula chakula bora ila vingine hivyo sio mdau kabisa...! Kwa hiyo unashauri nipunguze bajeti kwenye chakula?
 
Hahaha mleta mada upo mzunguko no 3 maana mambo yako ni nusu nusu bila shaka....
 
Mzunguko wa Wife wangu 15 hapo vipi ndugu? Tunawait part 2 mbona kimya?
 
Tarehe yako ina namba zenye nuksi ipo namba 9 Na 11 ukiziunganisha unapata 911 siku Osama alipobomoa twin tower marekani. Omba Mungu mambo yako ya kesho yasibomoke
 
Back
Top Bottom