Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ushauri tu ; kama unaendelea ktoa darasa uwe una update kuliko kutoa katikati ya commentssawa, endelea kufuatilia uzi
Usiweke tareh zako za kuzaliwa wazi hivi kama uchi wa batamimi tarehe yangu ni 21/9/1983 naomba niujue mwendendo wa mambo yangu kipitia namba..tafadhali kiongozi nisaidie hapo
Ndiyo Kakanamba 3 au 4?
Zaidi namba 4 ndiyo yangunamba 3 au 4?
Tunakomoana auUsiweke tareh zako za kuzaliwa wazi hivi kama uchi wa bata
hakika hauja kosea...Usikariri ndugu, inaonekana haya ni maarifa mapya sana kwako.
Watch out party 2 hahahahahahahahDuhh kila kitu kina part 2 yani siku hizi single movies ni chache ila series ni nyingi
Aaargh kwa hiyo sisi wa namba tano tusijuhusishe na mapenzi wala chakula?? Mkuu hauko seriousNamba yako ni 5, kwa ufupi
Mtu mwenye mzunguko wa maisha 5, lazima ajifunze kutumia uhuru wake katika namna chanya ya kujenga na si kubomoa. Maisha yanakuwa na fursa nyingi kwa mtu mwenye mzunguko huu zikiambatana na mabadiliko ya mara kwa mara wakati mwingine bila kutarajiwa. Mtu huyu ana uwezo wa kufanya kazi nyingi kwa ufanisi kutokana na vipaji ambavyo Mungu amemjalia, lakini ni muhimu kuchambua fursa zenye manufaa na kuwekeza nguvu na si kuwekeza nguvu katika kila fursa. Ni lazima kuwa makini ili usipoteze muda katika anasa za kimwili katika vitu kama , chakula, mapenzi, ulevi na madawa ya kulevya.
Kwa maelezo ya kina endelea kufuatilia uzi