Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

Mie siijui tarehe wala mwaka niliozaliwa.je napataje kutambua mm ni nani?
ni ngumu kwa kuwa uchambuzi wote unaanzia hapo, endelea kufuatilia uzi hadi tukifika katika uchambuzi kwa kutumia jina.
 
Maelezo ya No 7mbona kama hawa watu wanakua wanapata tabu sana njia zao mbona ngum
Mtu mwenye mzunguko wa maisha namba 7 lazima ajifunza kupata amani katika ufahamu wake ambayo upatikana kwa kujitambua mwenyewe. Lazima kulijua jambo kiundani kabla ya kufanya maamuzi pia ni vema kuwekeza muda wa kutosha katika kujitambua kiundani, kuamini maono yake katika kuitafuta busara. Mtu huyu anatakiwa kutotumia nguvu kubwa katika kutafuta anasa za dunia au kimwili, cha muhimu ni kujikita katika masuala ya kiroho. Ni muhimu kujitengea muda wa kuwa pekeyako ivyo kuweza kutafakari mabo kwa kina. Ni muhimu kusubiri fursa ambazo zitakuwa na manufaa katika upand wako na si kutumia kila fursa inayojitokeza
 
Maelezo ya No 7mbona kama hawa watu wanakua wanapata tabu sana njia zao mbona ngum
Changamoto kubwa kwa mtu mwenye mzunguko huu ni kushindwa kutega muda wa kukaa pekeyake na kutafakari mambo ya kiroho na ivyo kujikuta anakuwa mhanga wa anasa za dunia. Jambo la muhimu ni kuweza kutumia uwezo wake wa kiroho katika kufanikisha mambo yake tofauti.
 
Changamoto kubwa kwa mtu mwenye mzunguko huu ni kushindwa kutega muda wa kukaa pekeyake na kutafakari mambo ya kiroho na ivyo kujikuta anakuwa mhanga wa anasa za dunia. Jambo la muhimu ni kuweza kutumia uwezo wake wa kiroho katika kufanikisha mambo yake tofauti.
Ok ,thanks mkuu bt ko mtu wa No 7 akitulia mambo yanamyokea vizuri kabsa ebu nifafanulie nijipange vzr
 
Waafrika siku tutakayoacha kuamini haya mambo ya ajabu ajabu tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana.
 
Waafrika siku tutakayoacha kuamini haya mambo ya ajabu ajabu tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana.
Ulimwengu una mengi chagua kile kinachokufaa, maarifa mengine yanakimbia katika mawimbi ambayo ubongo wako unashindwa kuchambua
 
Vita inapiganwa ktk uwanja wa vita sio mazoezini. Huku ni kujazana ujinga au imani za kishirikina.
 
Back
Top Bottom