Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nimezaliwa 31/06/1995 vp hapo? Inakuajenyingine hazina
OK,sawaNamba yako ni 7
Mtu mwenye mzunguko wa maisha namba 7 lazima ajifunza kupata amani katika ufahamu wake ambayo upatikana kwa kujitambua mwenyewe. Lazima kulijua jambo kiundani kabla ya kufanya maamuzi pia ni vema kuwekeza muda wa kutosha katika kujitambua kiundani, kuamini maono yake katika kuitafuta busara. Mtu huyu anatakiwa kutotumia nguvu kubwa katika kutafuta anasa za dunia au kimwili, cha muhimu ni kujikita katika masuala ya kiroho. Ni muhimu kujitengea muda wa kuwa pekeyako ivyo kuweza kutafakari mabo kwa kina. Ni muhimu kusubiri fursa ambazo zitakuwa na manufaa katika upand wako na si kutumia kila fursa inayojitokeza
Changamoto kubwa kwa mtu mwenye mzunguko huu ni kushindwa kutega muda wa kukaa pekeyake na kutafakari mambo ya kiroho na ivyo kujikuta anakuwa mhanga wa anasa za dunia. Jambo la muhimu ni kuweza kutumia uwezo wake wa kiroho katika kufanikisha mambo yake tofauti.Maelezo ya No 7mbona kama hawa watu wanakua wanapata tabu sana njia zao mbona ngum
Ok ,thanks mkuu bt ko mtu wa No 7 akitulia mambo yanamyokea vizuri kabsa ebu nifafanulie nijipange vzrChangamoto kubwa kwa mtu mwenye mzunguko huu ni kushindwa kutega muda wa kukaa pekeyake na kutafakari mambo ya kiroho na ivyo kujikuta anakuwa mhanga wa anasa za dunia. Jambo la muhimu ni kuweza kutumia uwezo wake wa kiroho katika kufanikisha mambo yake tofauti.
Nilikua naomba unisaidie njisi ya kuiishi hiyo No7 coz ndo No yangUlizaswali vizuri sijakupata.