Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatengeneza mazingira ya kesho yako!Utapeli na ujinga.
Wewe si umesema no kiongozi ni 11 na 22...!33/6 Tatuta maelezo ya namba 6, katika post za juu
Uchambuzi wangu umeegemea katika master namba za 11 na 22, lakini kwa vitabu vya karibuni vinazungumzia 33 kama namba kiongozo ivyo wewe unabeba sifa ya namba 33 na 6. hasi/ubaya/uovu na chanya/uzuri/wemaWewe si umesema no kiongozi ni 11 na 22...!
kusema hiyo no 33 nayo ni namba kiongozi ?
Pia hapo no yangu mama ni sita ( 6 ) unaposema no mama imegawanyijka katika nguvu hasi na chanya unamaana gani mkuu ??
Ustadhi wewe endelea kutoa darasa, atakaye jichanganya atakufata pm.Usikariri, ukitaka nakutumia hata vitabu vyenye kurasa 800 uweze kujichambua mwenyewe
Ameshalijibu kwenye post namba 68 na 69.mkuu yangu 3 hebu nidadavulie kdg
Mkuu sisi wa 7 tumesubiri sana, hebu tupe sifa zake japo kwa ufupiUchambuzi wangu umeegemea katika master namba za 11 na 22, lakini kwa vitabu vya karibuni vinazungumzia 33 kama namba kiongozo ivyo wewe unabeba sifa ya namba 33 na 6. hasi/ubaya/uovu na chanya/uzuri/wema
Mtu mwenye mzunguko wa maisha namba 7 lazima ajifunza kupata amani katika ufahamu wake ambayo upatikana kwa kujitambua mwenyewe. Lazima kulijua jambo kiundani kabla ya kufanya maamuzi pia ni vema kuwekeza muda wa kutosha katika kujitambua kiundani, kuamini maono yake katika kuitafuta busara. Mtu huyu anatakiwa kutotumia nguvu kubwa katika kutafuta anasa za dunia au kimwili, cha muhimu ni kujikita katika masuala ya kiroho. Ni muhimu kujitengea muda wa kuwa pekeyako ivyo kuweza kutafakari mabo kwa kina. Ni muhimu kusubiri fursa ambazo zitakuwa na manufaa katika upand wako na si kutumia kila fursa inayojitokezaMkuu sisi wa 7 tumesubiri sana, hebu tupe sifa zake japo kwa ufupi
Asante saaana mkuu tupo pamojaKuhusu namba 1 nimeshaweka katika muendelezo wa sehemu ya uzi, kwa ufupi kuhusu namba 8
Mtu mwenye mzunguko wa maisha 8 lazima ajifunze kuridhika na mahitaji ya kimwili na anasa za dunia. Mtu huyu uwa na ndoto na maono machache sana, kitu alichojaliwa ni uwezo wa kujituma katika kutafuta fedha kwa namna yoyote ili kupata nguvu inayoletwa na uthibiti wa fedha. Mtu wa mzunguko huu uwa wana amani zaidi wanapokuwa na wadhifa wa juu katika maisha.
Kwa maelezo ya kina emdelea kufuatilia uzi
namba 8 kwa ufupiHii je 03/01/1993