Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

Mimi ndio natakiwa kuzielekeza namba badala ya namba kunielekeza mimi.....
 
math nilipata 0 nilivoona number number wala ckujisumbua
namba zenyewe ni nyepesi sana ni kujumlisha kama mtoto wa chekechea, lakini ukinipa tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa naweza kukukokotolea.
 
hili linaweza kuwa naukweli kias fran maana nishawai kwenda kwa mnajim mmoja akaniuliza tarehe yakuzaliwa mwezi na mwaka then akachukua pen akawa kama anajumrisha jumarisha namba minikajua ndo mazingaombwe yenyewe.
 
hili linaweza kuwa naukweli kias fran maana nishawai kwenda kwa mnajim mmoja akaniuliza tarehe yakuzaliwa mwezi na mwaka then akachukua pen akawa kama anajumrisha jumarisha namba minikajua ndo mazingaombwe yenyewe.
Wanajimu wao wanakuwa wamejikita katika elimu ya nyota (astrology), alikuuliza hili kutaka kujua unaangukia katika nyota gani.
 
mkuu nami 22.06.1988 niangalizie please
Namba yako ni 9, kwa ufupi

Mtu mwenye mzunguko wa namba 9 ana nafasi kubwa ya kufanikiwa katika kutafuta wadhifa, kujenga urafiki na kuasambaza upendo. Kujitoa kwako lazima kuwe ni kule kusikotarajia malipo ya aina yoyote.

Kwa maelezo ya kina endelea kufuatilia uzi
 
Kaka unasema kweli maana kuna muda huwa najiogopa kwa uwezo nilio nao, mtaani wanasema mimi ni usalama wa Taifa, Wenye shida wanaamini mimi ndio mtetezi wao, Mfano mkuu wa Nchi kazaliwa 29 October na mimi nimezaliwa 30 november tofauti ni namba 1 kwenye tarehe na mwezi tofauti ni moja bahati mbaya nimeishia darasa la saba lakini maisha yangu kama nimemaliza vyuo vyote. Please nipe neno zaidi kaka.

30 Nov..!_kwa mara ya kwanza napata pacha wangu jf
 
Mkuu wakati tukiendelea kusubiri muendelezo nimepiga hesabu nimepata namba nane na mwanangu nae namba nane japo tumetofautiana tarehe mwaka na mwezi wa kuzaliwa. Mke wangu yeye ni namba moja. So naomba kujua namba 8 na 1 mkuu
 
Mkuu wakati tukiendelea kusubiri muendelezo nimepiga hesabu nimepata namba nane na mwanangu nae namba nane japo tumetofautiana tarehe mwaka na mwezi wa kuzaliwa. Mke wangu yeye ni namba moja. So naomba kujua namba 8 na 1 mkuu
Kuhusu namba 1 nimeshaweka katika muendelezo wa sehemu ya uzi, kwa ufupi kuhusu namba 8

Mtu mwenye mzunguko wa maisha 8 lazima ajifunze kuridhika na mahitaji ya kimwili na anasa za dunia. Mtu huyu uwa na ndoto na maono machache sana, kitu alichojaliwa ni uwezo wa kujituma katika kutafuta fedha kwa namna yoyote ili kupata nguvu inayoletwa na uthibiti wa fedha. Mtu wa mzunguko huu uwa wana amani zaidi wanapokuwa na wadhifa wa juu katika maisha.

Kwa maelezo ya kina emdelea kufuatilia uzi
 
Mpk hesabu za pai dii square over 4 nimeiona hapo aisee.

Msisahau kutumia KKS na KDS
 
7/2/1***
9+4
13 =1+3
4.
Yakwangu nne ndugu...hebu nidadavulie namimi japo kwa ufupi
Mtu mwenye mzunguko wa maisha 4, lazima afuate mpangilio na mifumo rasmi katika kila jambo analotaka kulikamilisha kwa ufasaha. Mtu wa mzunguko huu lazima ujue kila kitu katika maisha kina ukomo wake, ukomo wa kimazingira, mitizamo na kimwili. Ni muhimu kulitambua hili kwa kuwa mara nyingi uhisi kuwa ni yeye tu ukutwa na mikwamo ya kikomo ukilinganisha na watu wengine.
 
Back
Top Bottom