Ha ha haaaa!!Tunafanya juhudi kuweka video, unaambiwa jamaa anakimbia swala anasubiri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaaa!!Tunafanya juhudi kuweka video, unaambiwa jamaa anakimbia swala anasubiri!
Sio waitara tuWaitara hana KIBALI
Ndio maana Kenya wanajielewaTungekuwa na makabila 70 kama wakurya hii nchi tungekuwa mbali Sana kiuchumi
Mbele ya magu?Wangekuwa na uthubutu waitara hasingekuwa mbunge mpaka sasa
Hahahha......we jamaa kwa vionjoTunafanya juhudi kuweka video, unaambiwa jamaa anakimbia swala anasubiri!
CHADEMA haijawahi kuwa na vibaka kama ambavyo CCM haina vibaka.Hao ni vibaka wa chadema na sio wananchi
Mimi kama mwana CCM ninaunga mkono jambo hili.2025 ni zamu ya kufurushwa chief hangaya
Kuna vibaka zaidi ya CCM aka Vibaka wa Sukari.Hao ni vibaka wa chadema na sio wananchi
Nadhani mkuu umeandika kisiasa zaidi, nikimaanisha unauma huku ukipulizia pole pole.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mbunge wa Tarime Mh Mwita Waitara leo ameshushwa jukwaani na kufurushwa na Wananchi alipokuwa kwenye Mkutano wa hadhara kjijiji cha Kanisani, Kata ya Sirari.
Bado haijajulikana sababu hasa za Wananchi hao kumfurumusha mbunge wao huyo (Tunaendelea kufuatilia).
Bali tunalishukuru Jeshi la Polisi kumuokoa na kumkimbiza Mh Mbunge ili kuepuka kipigo
Tunaendelea kusisitiza kwamba Wananchi waache hii tabia ya kujichukulia sheria mkononi, hii nchi inaendeshwa kwa utaratibu, kama kuna jambo lolote waende kwenye vyombo vya dola
View attachment 3020962View attachment 3020963
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunafanya juhudi kuweka video, unaambiwa jamaa anakimbia swala anasubiri!
KabisaaNdio maana Kenya wanajielewa
Nalaani matukio ya kujichukulia sheria mkononiNadhani mkuu umeandika kisiasa zaidi, nikimaanisha unauma huku ukipulizia pole pole.
Unasema unalaani raia kujichukulia sheria mkononi, huku kimoyo moyo ukisema si wangemuua kabisa huyu msaliti!
Hali hiyo nami huwa inanitokea, kuamuria mtu mhalifu asiendelee kubondwa, huku kimoyo moyo nikijilaumu kumkingia kifua!
Endelea kufungukaHakukuwa na mkutano wa hadhara bali msiba, kuna gari ilipata ajali inatoka kwenye mashindano ya mpira aliyoyaanzisha Waitara kijana mmoja akafariki sasa leo ndo walikuwa wanatoa mwili mochwari na mazishi ni kesho.
Waliokuwa wanazomea ni vijana wa chadema na Team Maswi wakimtuhumu Waitara kwamba yeye ndo amemtoa kafara.
KumbeHakukuwa na mkutano wa hadhara bali msiba, kuna gari ilipata ajali inatoka kwenye mashindano ya mpira aliyoyaanzisha Waitara kijana mmoja akafariki sasa leo ndo walikuwa wanatoa mwili mochwari na mazishi ni kesho.
Waliokuwa wanazomea ni vijana wa chadema na Team Maswi wakimtuhumu Waitara kwamba yeye ndo amemtoa kafara.
Haya ndio yawe mapokezi yao kote nchiniTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mbunge wa Tarime Mh Mwita Waitara leo ameshushwa jukwaani na kufurushwa na Wananchi alipokuwa kwenye Mkutano wa hadhara kjijiji cha Kanisani, Kata ya Sirari.
Bado haijajulikana sababu hasa za Wananchi hao kumfurumusha mbunge wao huyo (Tunaendelea kufuatilia).
Bali tunalishukuru Jeshi la Polisi kumuokoa na kumkimbiza Mh Mbunge ili kuepuka kipigo
Tunaendelea kusisitiza kwamba Wananchi waache hii tabia ya kujichukulia sheria mkononi, hii nchi inaendeshwa kwa utaratibu, kama kuna jambo lolote waende kwenye vyombo vya dola
View attachment 3020962View attachment 3020963