Pre GE2025 Tarime: Mbunge Mwita Waitara atimuliwa na Wananchi, ashushwa Jukwaani kwa Fimbo

Pre GE2025 Tarime: Mbunge Mwita Waitara atimuliwa na Wananchi, ashushwa Jukwaani kwa Fimbo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Safi sana .wananchi wakiwa na moto huo itapelekea viongozi kutenda haki na siyo kuwa chawa kama Hawa wapuuzi wa chama Cha majambazi(ccm)
 
Wamenshusha kwa mawe au silaha, au wametumia haki yao kuchuja pumba na mchele?!
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mbunge wa Tarime Mh Mwita Waitara leo ameshushwa jukwaani na kufurushwa na Wananchi alipokuwa kwenye Mkutano wa hadhara kjijiji cha Kanisani, Kata ya Sirari.

Bado haijajulikana sababu hasa za Wananchi hao kumfurumusha mbunge wao huyo (Tunaendelea kufuatilia).

Bali tunalishukuru Jeshi la Polisi kumuokoa na kumkimbiza Mh Mbunge ili kuepuka kipigo

Tunaendelea kusisitiza kwamba Wananchi waache hii tabia ya kujichukulia sheria mkononi, hii nchi inaendeshwa kwa utaratibu, kama kuna jambo lolote waende kwenye vyombo vya dola

View attachment 3020962View attachment 3020963
Nadhani mkuu umeandika kisiasa zaidi, nikimaanisha unauma huku ukipulizia pole pole.

Unasema unalaani raia kujichukulia sheria mkononi, huku kimoyo moyo ukisema si wangemuua kabisa huyu msaliti!

Hali hiyo nami huwa inanitokea, kuamuria mtu mhalifu asiendelee kubondwa, huku kimoyo moyo nikijilaumu kumkingia kifua!
 
Nadhani mkuu umeandika kisiasa zaidi, nikimaanisha unauma huku ukipulizia pole pole.

Unasema unalaani raia kujichukulia sheria mkononi, huku kimoyo moyo ukisema si wangemuua kabisa huyu msaliti!

Hali hiyo nami huwa inanitokea, kuamuria mtu mhalifu asiendelee kubondwa, huku kimoyo moyo nikijilaumu kumkingia kifua!
Nalaani matukio ya kujichukulia sheria mkononi
 
Hakukuwa na mkutano wa hadhara bali msiba, kuna gari ilipata ajali inatoka kwenye mashindano ya mpira aliyoyaanzisha Waitara kijana mmoja akafariki sasa leo ndo walikuwa wanatoa mwili mochwari na mazishi ni kesho.
Waliokuwa wanazomea ni vijana wa chadema na Team Maswi wakimtuhumu Waitara kwamba yeye ndo amemtoa kafara.
 
Hakukuwa na mkutano wa hadhara bali msiba, kuna gari ilipata ajali inatoka kwenye mashindano ya mpira aliyoyaanzisha Waitara kijana mmoja akafariki sasa leo ndo walikuwa wanatoa mwili mochwari na mazishi ni kesho.
Waliokuwa wanazomea ni vijana wa chadema na Team Maswi wakimtuhumu Waitara kwamba yeye ndo amemtoa kafara.
Endelea kufunguka
 
Hakukuwa na mkutano wa hadhara bali msiba, kuna gari ilipata ajali inatoka kwenye mashindano ya mpira aliyoyaanzisha Waitara kijana mmoja akafariki sasa leo ndo walikuwa wanatoa mwili mochwari na mazishi ni kesho.
Waliokuwa wanazomea ni vijana wa chadema na Team Maswi wakimtuhumu Waitara kwamba yeye ndo amemtoa kafara.
Kumbe
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mbunge wa Tarime Mh Mwita Waitara leo ameshushwa jukwaani na kufurushwa na Wananchi alipokuwa kwenye Mkutano wa hadhara kjijiji cha Kanisani, Kata ya Sirari.

Bado haijajulikana sababu hasa za Wananchi hao kumfurumusha mbunge wao huyo (Tunaendelea kufuatilia).

Bali tunalishukuru Jeshi la Polisi kumuokoa na kumkimbiza Mh Mbunge ili kuepuka kipigo

Tunaendelea kusisitiza kwamba Wananchi waache hii tabia ya kujichukulia sheria mkononi, hii nchi inaendeshwa kwa utaratibu, kama kuna jambo lolote waende kwenye vyombo vya dola

View attachment 3020962View attachment 3020963
Haya ndio yawe mapokezi yao kote nchini
 
Back
Top Bottom